MAPYA YALIYOPO KWENYE IPHONE 13, MAAJABU YAKE, BEI YAKE,

preview_player
Показать описание
Kampuni ya Apple ya Marekani inayojihusisha kutengeneza vifaa mbalimbali ikiwemo simu za mkononi aina ya iPhone imeonesha aina mpya ya simu ya iPhone 13 pro na kuonesha baadhi ya vitu vipya vinavyopatikana ndani yake.

Kimuonekano haina utofauti na iPhone 12 pro ila kwenye ufanyaji wa kazi Apple wamesema ina utofauti ikiwemo cpu ambayo Apple wenyewe wamesema ni CPU yenye spidi kuliko nyingine yoyote kuwahi kuwekwa kwenye simu huku camera yake ikija na telephoto 77 mm lens na 3 times optical zoom.

iPhone 13 pro pia imeongezewa kipengele kingine kwenye camera yake kiitwacho CINEMATIC kinacholeta udambwiudambwi wa sanaa ya filamu kwenye simu hii, vilevile kwa mara ya kwanza camera ya simu hii inaweza kuhamisha 'focus' automatic wakati wa kurekodi video kutoka kwa Mtu mmoja kwenda kwa mwingine.

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

*Nakupenda ni wimbo maalum kwa wapenzi waliopo kwenye mahaba mazito sana, huu ni wimbo mpya toka kwangu bofya picha pembeni 👈👈👈 kuutazama naamini utaupendaa*

Emmamusiccmb
Автор

Kwa hio inamaanisha Iphone 3 imezidi kupungua bei. 😋😋😋😍😍

Najua ata ikija 14 na 15, iphone 3 itafika laki 1 hadi elfu 80. 😋😋

ibbu-tz
Автор

nimeshafika iPhone toleo la 10 naamini nitafika la 13 inshaAllah 🙏

hata wewe unayetumia tecno na infinix usivunjike moyo simu ni simu tu ilimradi mawasiliano...

officialkamdudu
Автор

ASIKWAMBIENI MTU SAMSUNG SIMU BANAH IPHONE SIMU ZAO KUANZIA IPHONE 11 ZOTE UMBO SAWA YAANI HAVIJATAFAUTIANA SANA YAAN

adilforrever
Автор

Ukiwa na mpenzi unataka awe wako pekeyako mkiachana unakuja kutongoza wapenzi wetu hii tabia ife. 🚶🚶🙄🙄🙄

joelstanslaus
Автор

Mm nahitaji infinix note 8 wauzaji mpya dukani bei

faridadondodondo
Автор

Marinda ya vijana wanao penda vitu vizur bila kua na hela yanaenda kupotea 😂😂😂

omieoug
Автор

Hiyo simu huku saudia ni rial 4000 ambapo ki kwetu kenya ni sh 117, 398, 14 sijui ki uko tz ni smart sana mimi yangu mdogo wa huyo nilinunua rial 2000 naipenda sana iko na mpaka location ya kumtrck mtu much ❤❤❤❤❤❤

mwanamwinyimwakani
Автор

Ngoja kexho niende mlimani city nikajichulie kitu kimpya make ndo zetu hzo

petermarwa
Автор

Nawaona watu wenye tecno na infinix wanavyokodoa macho😆😆😆😆😆

shabanially
Автор

Wenzetu wanafanya biashara sis tunafanya selfie na Mwakasafili

deniccgabriel
Автор

Mbon hakuna tangazo la karibu palm vilage😅

mrh
Автор

Ikifika iphone 20.nistueni nichukue nitakuwa na ela.hapo

salehegiza
Автор

Ngoja nikauze nyumba tangy nikanunue iPhone 13🚶🚶🚶🚶

waheedahtanzania
Автор

Tusubir kupigwa na wafanyabiashara wetu wa Bongo ×2 yake

hamisingumbyulu
Автор

Haya watoto wa kike, mnaohitaji hii simu mkiwa hamna uwezo wa kununua, jiandaeni kuharibiwa

hudsson