BAHATI ILIYOJE! Mtoto Abebwa Na DIAMOND PLATNUMZ Baada Tu ya Kuzaliwa! Apewa Jina La TIFFAH

preview_player
Показать описание
DIAMOND PLATNUMZ Alivyo Mbatiza Mtoto Jina La TIFFAH Hospitalini Baada Tu ya Kuzaliwa!

BAHATI Iliyoje! Mtoto Abebwa Na DIAMOND PLATNUMZ Baada Tu ya Kuzaliwa! Apewa Jina La TIFFAH
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Diamond u always make me as your no.1 fan here in Uganda so proud.i wish all were like u and the wasafi crew!!! Believe me u will never lack coz u have a big heart, a true giving heart.and remember a giving heart receives endless.

alirimanicholaijnr
Автор

Safi Sana nasibu mbebe ata akikukojorea sote tumetoka uko usioneshe ubaguz kwawatoto kam wengine akiwa wa maskini abebwi uskubali kua ivyo km nawew umemkubal like back like back like back like 🔙

saddyclassicfashion
Автор

Wauudhubilah min dhalik, Shirki gani hizi.watanzania mnabowa Sana

satushin
Автор

Balaa iliyoje ntoto kabebwa na diamond bada ya kuzaliwa nikisema ivyo nina mana sababu katika islam nziki ni arramu kabisa akuna mtu anapinga ilo na mwana music anatembeya na mashetani mbona ukusema kubemwa na shehe uliyo sema nduguyango ni shirki iyo mwogope mungu

ibraimoibraimobuanamade
Автор

Ss mipovu Yann jmn kwani hapo alosema atoe jina Nani si Hao manesi na hashuo Lao ss mipovu Yann

nshonabdll
Автор

Bahati ipi kwani alibebwa na swahaba uyo

alihaji
Автор

Bahati gani sasa nyinyi wasenge kwani diamond ni mtume au mbona mnakuwa malimbukeni nyinyi

allfootballtv
Автор

Now Mondi ni Mtume ametumwa maalum kwa kizazi cha mziki

BigZhumbe
Автор

Kichwa cha Habari kimenileta hapa kwani yy ni Nani hata uandike utumbo kama Huo kweli nimeamini ww muandishi huna marinda

idrisasalum
Автор

pwaaaa kijana ni mungu nowdays yani dunia ikisimama 10% wa mungu 90%shetani coz kila siku diamond ata magufuli asikiki jamani TZ balaaa

josephinemakungu
Автор

kwa zanzibar yetu Naseeb hakuna wa kukupatikia maana sisi wazanzibari ni watu tuliokinai sanaa na hatupapariki kumuona mwanamziki wa aina yyt ht aje nani bas kwetu ntng, ila ubarikiwe na moyo wako wa imani Na Allah akuongoze maana mziki sio njia sahihi ila kwa vile sote tunamakosa inshaallah Allah atatuongoza ktk njia iliyo nyooka

qulthumameir
Автор

Yaani mhhh shida bahati sio mbaya lkn bahati nzuri ni ile unapomchukua mtoto na kumuombea dua kwani hiyo ndio kinga kwakwe lol na sio kutoa jina 🚶🏻‍♂️🚶🏻‍♂️ pesa bwana daah shida

mamyally
Автор

Mond ww tishio khaa! Mtt umekabidhiwa na jina umetoa kadadaa tee hako kweli mond ww mtu wa watu na ww kweli unapendwa bhana watu wanamahaba sana tena yakupitiliza na ww mungu azidi kukuangazia mond ndiyo ukubwa huo uimara wako uchapaji kazi wako umekupa ukubwa wa hekima na busara mtt mtegemewa na jamii na taifa kwa ujumla ww kweli nguvu kazi kijana unayepigania taifa na jamii kwa ujumla hongera sana nguvu kazi ww

halimambwego
Автор

Tooooba yeye nani kwani kweli ukiwa napesa watu wanakuabudu baada yakumuabudu mungu eti nimyenyekee binaadae loooo

naimaally
Автор

Duuuuh OK ila PITIA HAPA KUONA UCHAFU UKIGEUZWA KUWA MAPAMBO YA NDANI ili kuni sapoti SUBSCRIBE channel hii bofya kapicha kushoto

SKILLSTV
Автор

Kwan damond ndyo nani khaaa😂😂huyo chamatusi si mkosi tu kushikwa na yeye

najmamakame
Автор

Ww sam hauna akili ndo maana dudu akakutaja.... sasa bahati gani kwani huyo diamond ndo nani au ndo basha wako ww

mrzanzibartransfer
Автор

Bahati ya kushikwa na Dmond inamaanisha Nini? Kwani D xi Ni Binadamu 2 wakawaida mbona walimwengu mwapenda kutukuza Binadamu?😏😏

sarahmohamed
Автор

Wabongo mtu akiwa na vipesa mnamsujudia kwani yy mungu ac heni usenge

aminahabibug
Автор

Kama miseng sas iyo bahat yann kawa nani uyo waseng kweli

nanacutenana