NGUVU YA MFALME ( THE POWER OF THE KING) EPISODE 1

preview_player
Показать описание
Kalibu Sana kufuatilia tamsili mpya NGUVU YA MFALME.kutoka kwa Jk kigobora ni Tamsilia Kali Sana yenye visa na mkasa Kila jumamosi
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Kazi nzuri sana, tunasubili sehemu ya pili, hongereni sana❤❤❤❤❤❤❤❤

costantineMkwawa
Автор

Ukweli lazima tuwambie wasanii wetu apa kwenye move iih wamefeli sana kwazia kwa mfalme Wana lamizisha sauti Ambazo Awawezi kutumia umu ndani mzee kasisi tu ndo kipaji

DaudMwakalinga-ievm
Автор

as uy aliyevaa vipini kwny ndevu izo kelele zann macho kayatoa kama mjuxi kabanwa na mlango eb igizeni vzuli bn makelele tu kama mnacheza kombolela onyesheni uwasilia wa kazi yenu iwe mzuli

KuluthumuMwalimu
Автор

Nahitaji kujua mzee kasisi ndio kazaliwa na mguu wa ulemavu au kipaji chake ??. Na kama nikipaji chake usipite bila kuweka like

bikoragidion
Автор

Big up sana guys kwa KAZI nzuri nawapa kongole kwa KAZI hii

Mwadarusi
Автор

Mko vizuri Sana by NGOSHA VIDEO PRODUCTION DUMILA Tz

ngoshamedia
Автор

Jaman kwen ao ni walinzi au ndondocha naahindwa kuelewa ivyo wanavyofanya uson

MamaNuh-qd
Автор

Mov nzur jamn kwanza imeturia haina mawimbi hi mov n kiboko mmetisha waigizaj wa nguvu ❤❤❤

KadegaKadega-wldj
Автор

Jamani tunaomba mwendelezo wa samahan Asante

BarakaCharles-ex
Автор

Munajua kupangilia matukio duh Hadi Raha🤗

AzishaBakari
Автор

Ila movie imetuliya san nimeipenda san

YahyaIdiAli
Автор

Kaka kigobola hamjawai kufel kwenye move zenu allah awajaalie

hamisimakati
Автор

Du! mfalme anapiga Malika 😢😢😢😢. Afu huyu mlinz wa mfalme anatisha Hadi naogopa 😮😮😮

hadijaMwatende
Автор

Jamn uku kumenoga team kigobora tujarib kuwaalika watu waje waongeze cku za kuishi

Masubatatz
Автор

Mbona huyu aliye kamatwa aoneshe action km kuna hatari ambayo imemkabili

YahyaIdiAli
Автор

Walinzi wanazingua sana wanapga pga makelele to

jimson-eg
Автор

Kazi nzuri sana nimependa Sound Iko clear sana❤❤Hongera sana kwa Engineer wa Sauti🎉

SylviaBlessed-wbxo
Автор

Kazi nzuru sana lazima tucheke na marafiki zetu 😂😂

bettyojiambo
Автор

Duuh Mimi uyo mlinzi wa uyo mfarume kwakweli hapan mbk namuogopa mm😂

MENGIOMARI
Автор

Jamaniii Mie ndo mwisho kutoka Tiktok mpaka hapa tujuwane😂❤weka like

AgnesMalta
join shbcf.ru