OMBI LANGU - Mamajusi Choir Moshi - Official video

preview_player
Показать описание

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

I always wish to this blessed and beautiful choir. Much love from Kenya❤🎉

PaceyMarjorie-rvxj
Автор

Mkono wa Bwana uzidi kuwabeba....nyinyi ni wa baraka kwa kuwasikiza Tangu "Homa ya dunia imepanda.

johnmbaka
Автор

Mamajusi nye mnaona mnaimbs lakini mimi naona ni maombi yangu Toshiba. Mungu etu mwema awabariki, pia atumie wimbo huu kutubu jeraha za moyo wangu!

CharlesRweymamu
Автор

Napenda uimbaji wenu sana na ninabarikiwa kabisaaaa

joshuamigiro
Автор

Tangu jadi nikiwa nasoma shule ya msingi nilipoanza kuwaskiza, nimekuwa nabarikiwa tu, namwomba Mungu awazidishie 🎉. Sitachoka kuziskiza nyimbo zenu.Upendo mkubwa kutoka Naivasha Kenya.

timothychavaya
Автор

Kiukweli nabarikiwa sana sana kwa uimbaji wenu nyimbo zenu zimekuwa baraka sana kwangu hadi NATAMANI kujiunga nanyi katika kumtumikia Mungu kwa Njia ya uimbaji sema tu umbali ndio tatizo. Mungu na awabariki sana sana na awape maisha marefu hadi mwisho wa Dahari ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

CatherineSemugu
Автор

Jaman soloist wetu wa naona fahari kanenepa.. Mungu akutunze mama❤❤❤

japhetjohn-tt
Автор

Hakika MUNGU asikie vilio vyetu, jamani MUNGU ifute, aibu yangu, nikomboe kabisa, AMEN

erickmeshac
Автор

Wimbo unanipa faraja sana Mungu azidi kuwapa sauti nzuri zaidi na zaidi ya kumwimbia., , nipo moshi soweto 🙏

fredymmari
Автор

Kwaya yangu pendw toka ktambo mbarikiwe watumish

shedrackdaudi
Автор

Hii wimbo ata kama umekosa kasi utabata kuna siku nilisafiri nikeanda Saudi Arabia na kufika huko nilikosa kasi lakini vile nilisikisa hii wimbo kesho yake nilibata kasi musuri sana kupitia hii wimbo mungu awabariki wana kwaya ya mama Jusi God bless you ❤❤❤ 🎉🎉

CarolineKakai
Автор

Mungu awatunze na kiwainua zaidi mmekuwa Baraka kwa wengi kwa nyimbo nzuri zenye upako

neemashango
Автор

Nami hilo ndilo ni ombi langu kwake, be blessed so such powereful ministering brethren

mncheruiyot
Автор

Wako vizuri muda wote hawa watu, wako imara sana hawa watu

mlowad
Автор

Mwalimu keep on with good work. God bless mmajusi choir. Kabochi Nakuru kenya.

kabochijohn
Автор

Mamajusi Kwaya wapendwa mmeamua moja na Mungu awatangulie
....mnaifanya kazi ya Mungu kikamilifu. Hongere sana wana wa Mungu.

marrymakoi
Автор

Mungu azdi kuwapa kibali na mweze kutoa albam mpya by godlove ayo nipo burundi

GodLove-od
Автор

Futa aibu yangu Mungu, nasubir majibu yangu.what a blessing song! Mungu awabariki mamajus choir

annamcharo
Автор

Mungu wetu tupo kazini kujibu maombi yetu

BartazaryHepelwa
Автор

Wimbo huu ni faraja kwangu. Be blessed kwaya yangu pendwa kabisa.

tinnahtito
join shbcf.ru