MAANA YA NAMBA 19 YA COVID-19 KIBIBLIA NI HII. BALAA TUPU

preview_player
Показать описание

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Ishara zinatimia kila kukicha wapendwa, sio lazima kila ishara uione au uielewe, nyingine zinahitaji hekima na busara sasa kama huna hekima na busara mnajifanya dini hii dini hii dini hii, endeleeni!!!, Wewe tupe somo Ustadh, Yesu alisema hata wakiingia mbinguni wawili tu Mungu hana hasara cha muhimu mliletewa habari njema duniani na mkaikataa!!

mickwllm
Автор

Barikiwa sana Mtumishi
Nimekuelewa sana nitafanyia kaz hili neno nitajichunguza nichague nitakae mtumikia🙏

estherkoya
Автор

Mtumishi Wa Mungu. Mimi ninamuomba Mungu anijaalie hekima Ya kuweza kuelewa kwa kina na kuyaishi mema yampendezayo Mungu. Nakuomba usichoke kutuombea ili tuilewe maana kuu Ya neno na kuliishi. Nakuomba unikumbuke na familia yangu katika sala zako kwa Mungu Wa kweli.

MWAMALUMBILI
Автор

May Allah guide you in the right path in shaa Allah. You really look and sound like a normal person.

rashidhashim
Автор

Ila mafundisho yako ni mazuri na nimeipenda. Wakati wakujiita nambii bado. We fundisha neno. maana hata biblia ilitabiri kuwa watakuja manabii wa uwongo. Na watafanya kila namna. Mpate kuwa amin.

johnfasonhangalitzunclemon
Автор

Kawaida ya nabii ni kusikilizwa na kupuuzwa, ila wewe timiza wito wako, Bwana akubariki.

musashadrack
Автор

Malaki 4:5 inasema nitakupelekeeni nabii kabla ya siku ya bwana, lakini haikukutaja wewe huo ni ukafiri na ni uongo sababu ukisoma katika mathayo 17:10 Yeso aliulizwa na waandishi kwa nini waja wewe na imeandikwa mpaka aje Eliya Kwanza, , Yesu akawajibu Eliya ameshakuja wasimtambue so wewe sio Eliya wala nabii cause Eliya alishakuja kabla ya Yeso hawakumtambua na wewe sio nabii sababu Hakuna nabii atakayekuja baada ya mtume Mohammed s a, w quran 33:40 wacha kupotosha watu wewe ni kafiri na usipotubu mahali pako motoni, , , Na ukisoma katika hadith za mtume Mohammed s a, w kuja kwa yesu au nabii Issa atatokea msikitini Wakati wa swalatul fajir na ataswali nyima ya imam mahadi cause Wakati imam mahadi alipomgudua kuwa yeye ndie nabii Issa au Yeso atamwambia aje aswalishe lakini yesu atakataa na kumwambia yeye atakuwa maamuma yaani ataswali nyuuma ya imam mahadi wacha kudanganya watu tubu kabla hayajakufikia mauti usipo fanya hivyo wewe motoni cause wewe sio muislamu hata kwenye huo ukristo unaofagilia pia hupo

salimmotila
Автор

Sasa nabii hapo unawachukuliaje wale ambao hawana simu za WhatsApp, kwamba hawana vigezo vya kunyakuliwa?

oddojoseph
Автор

pole sana we kila ulipotea mara shkhe mara mchungaji mara nabiii upo kama kinyonga hauleweki langi yko asilia

jaribushop
Автор

7:39 ****
Mathayo 17: 10-13: " Wanafunzi wake wakamwuliza, wakisema, Basi kwa nini waandishi hunena ya kwamba imempasa Eliya kuja kwanza? Naye akajibu, akawaambia, Kweli Eliya yuaja kwanza, naye atatengeneza yote, ila nawaambia, ya kwamba Eliya amekwisha kuja, wasimtambue, lakini wakamtenda yote waliyotaka. Vivyo hivyo Mwana wa Adamu naye yuaenda kuteswa kwao. Ndipo wale wanafunzi walipofahamu ya kuwa amesema nao habari za Yohana Mbatizaji."

omaar
Автор

Waislamu tunafata QURAN NA SUNNA, SI KUFUATA KUMUAMINI kitabu chetu hakija kuthibitisha wew kama unabisha TOA AYA

mudysele
Автор

Mimi kwa uelewa wangu mungu hawazi kumuinua mtu abaye tayari anaijua neno vitabu ya dini.. Maana lazima utabinga.
Mungu ni lazima amuinue abaye mungu anaanzaa kumfundisha.na pia nambii hawezi kujitangaza balii au kujilazimishia yeye diyo nambi Eliya.. Cju ila lamda inawezekana. Ila bado miakaa 600. Ndio mutaona manabii wa uwongo na wakweli.

johnfasonhangalitzunclemon
Автор

Uyu jamaa huenda fact zake zina ukwel ndan yake

keshenidaniel
Автор

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ila mzee baba unazingua mi nilijua ni sheikh buana.

dasilvajunior
Автор

Kutakuwa na miaka 7 ya dhiki kuu, wakati BWANA HARUSI YESU YUPO KATIKA KARAMU NA BIBI HARUSI KANISA, hayo yameandikwa katika kitabu cha UFUNUO na lazima yatokee, kwaiyo acha kudanganya watu wasio jua neno la Mungu, dhiki kuu itawakuta wale walikengeuka yani waliokoka wakaludi nyuma na wale waliokuwa wanahubiriwa neno la Mungu ALIE HAI na wakalikataa na kuendeleza dhambi, hakuna mtakatifu atakae onja dhiki lazima anyakuliwe

anthonyzambi
Автор

Ata yesu alisema angalieni mtu asiwadanganye kumbe alishajua kuwa kutatokea manabii wa uongo

omaryandrew
Автор

Wewe lazima BWANA YESU ALIE HAI AJE MAWINGUNI KUNYAKUWA KANISA, apo unadanganya, tunalijua neno la Mungu vizuri

anthonyzambi
Автор

Sasa kwanini unataka watu wakufuate WhatsApp kama kweli umeamua kuwakomboa watu weka mafundisho yako hapa hapa watu wajifunze kuna nini cha ziada hadi utake kuwaficha wengine?

saidsuleiman
Автор

Sasa wee unaamini Yesu kristo? wara unaamini Nabi Muhammad? Sikueree

loraumuhire
Автор

Dah ni vigumu sana kumwamini mtu kama uyu japo huwez jua make ata yesu walimupuza ivi ivi

keshenidaniel
join shbcf.ru