filmov
tv
Nikki Mbishi - MTOTO WA KAMBO ft Beka Ibrozama & Mac D

Показать описание
LYRICS:1
Sikuzaliwa nawe mi kwako ni mtoto wa kambo,
Niliyepatikana nje ya ndoa mpango wa kando,
Sijawahi kudeka malezi ya kikomando,
Waya mkali muulize Dingo jango,
Likitokea jambo natumika kama chambo,
Haki sipewi mpaka niandamane na mabango,
Nasikia mnakeketwa mi nilipelekwa jando,
Kisu cha Stallone ama Sylvester Rambo,
Background yangu ni zaidi ya Rumble in the jungle,
Nimejua kukisaka kimango kitambo,
Chabo dirishani sinema ya Onyango na Bambo,
Nimelala njaa wengine wakimanga finyango,
Sikuhesabiwa ilipopangwa mipango,
Sikuwekwa clear walipochanga michango,
Wazazi kupelekana mpaka Ustawi wa jamii,
Nimepitia hayo usidhani tu ni usanii,
Lyrics:2
Kuna mtoto wa mama na mimi mtoto wa baba,
Nikiwa bado mdogo nilipata msoto wa haja,
Hakuna mtoko na baba utaambiwa mkoko umejaza,
Usipokaza ugoko mokomoko umeachwa,
Ubongo umewaza niwapatie kisa changu,
Venye mchawi alitamani akatiwe kichwa changu,
Japo sikuwahi kuwaza amana za urithi,
Ilinikomaza na hiyo ndio maana ya ubishi,
Kheri mliopata upendo wa wazazi wawili,
Wengine tuliishi depo na maaskari katili,
Nyumbani mbugani vita ya mhifadhi na jangili,
Sijui ningekuwa nanii ka" si kipaji sahili,
Ka" si kipaji Bashiri pengine ningekuwa nyoka,
Ama Panya Road yaani kifupi ningetoboka,
Sikuwahi kufurahi kukicha masononeko,
Nikaona nijitafute hayo mambo ya masomo kesho,
Sikuzaliwa nawe mi kwako ni mtoto wa kambo,
Niliyepatikana nje ya ndoa mpango wa kando,
Sijawahi kudeka malezi ya kikomando,
Waya mkali muulize Dingo jango,
Likitokea jambo natumika kama chambo,
Haki sipewi mpaka niandamane na mabango,
Nasikia mnakeketwa mi nilipelekwa jando,
Kisu cha Stallone ama Sylvester Rambo,
Background yangu ni zaidi ya Rumble in the jungle,
Nimejua kukisaka kimango kitambo,
Chabo dirishani sinema ya Onyango na Bambo,
Nimelala njaa wengine wakimanga finyango,
Sikuhesabiwa ilipopangwa mipango,
Sikuwekwa clear walipochanga michango,
Wazazi kupelekana mpaka Ustawi wa jamii,
Nimepitia hayo usidhani tu ni usanii,
Lyrics:2
Kuna mtoto wa mama na mimi mtoto wa baba,
Nikiwa bado mdogo nilipata msoto wa haja,
Hakuna mtoko na baba utaambiwa mkoko umejaza,
Usipokaza ugoko mokomoko umeachwa,
Ubongo umewaza niwapatie kisa changu,
Venye mchawi alitamani akatiwe kichwa changu,
Japo sikuwahi kuwaza amana za urithi,
Ilinikomaza na hiyo ndio maana ya ubishi,
Kheri mliopata upendo wa wazazi wawili,
Wengine tuliishi depo na maaskari katili,
Nyumbani mbugani vita ya mhifadhi na jangili,
Sijui ningekuwa nanii ka" si kipaji sahili,
Ka" si kipaji Bashiri pengine ningekuwa nyoka,
Ama Panya Road yaani kifupi ningetoboka,
Sikuwahi kufurahi kukicha masononeko,
Nikaona nijitafute hayo mambo ya masomo kesho,
Комментарии