Nikki Mbishi - MTOTO WA KAMBO ft Beka Ibrozama & Mac D

preview_player
Показать описание
LYRICS:1
Sikuzaliwa nawe mi kwako ni mtoto wa kambo,
Niliyepatikana nje ya ndoa mpango wa kando,
Sijawahi kudeka malezi ya kikomando,
Waya mkali muulize Dingo jango,
Likitokea jambo natumika kama chambo,
Haki sipewi mpaka niandamane na mabango,
Nasikia mnakeketwa mi nilipelekwa jando,
Kisu cha Stallone ama Sylvester Rambo,
Background yangu ni zaidi ya Rumble in the jungle,
Nimejua kukisaka kimango kitambo,
Chabo dirishani sinema ya Onyango na Bambo,
Nimelala njaa wengine wakimanga finyango,
Sikuhesabiwa ilipopangwa mipango,
Sikuwekwa clear walipochanga michango,
Wazazi kupelekana mpaka Ustawi wa jamii,
Nimepitia hayo usidhani tu ni usanii,

Lyrics:2
Kuna mtoto wa mama na mimi mtoto wa baba,
Nikiwa bado mdogo nilipata msoto wa haja,
Hakuna mtoko na baba utaambiwa mkoko umejaza,
Usipokaza ugoko mokomoko umeachwa,
Ubongo umewaza niwapatie kisa changu,
Venye mchawi alitamani akatiwe kichwa changu,
Japo sikuwahi kuwaza amana za urithi,
Ilinikomaza na hiyo ndio maana ya ubishi,
Kheri mliopata upendo wa wazazi wawili,
Wengine tuliishi depo na maaskari katili,
Nyumbani mbugani vita ya mhifadhi na jangili,
Sijui ningekuwa nanii ka" si kipaji sahili,
Ka" si kipaji Bashiri pengine ningekuwa nyoka,
Ama Panya Road yaani kifupi ningetoboka,
Sikuwahi kufurahi kukicha masononeko,
Nikaona nijitafute hayo mambo ya masomo kesho,
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Daah Bro Nikki hizi ndo Vibe zenyewe za ulimwengu wako, wimbo kama huu mtu unaupiga mara 100 aisee, vibe za Au kama, Sauti ya jogoo, play boy na nyingine, Af kuna ngona inaitwa Tembo! Paza sauti juu kama unapenda Tembo! Pinga UUjangili, ile ngoma imepotea bro haionekani popote For the last nakumbuka ilikuwepo Mkito! Iupload watu tunese mzee babaa

Tune_TV
Автор

“Kheri mliopata upendo wa wazazi wawili wengine tuliishi depo na maaskari katili”😂😂

stevenmbosa
Автор

Unajua hadi unakera bro..Haya mateso ya mtoto wa kambo yamekuwa hulka asili, sijui ni lini yatafika mwisho, hadi naogopa kuoa tena maana sitaki watoto wangu waje kuteseka🤔

stevemwachi
Автор

Bonge Moja la Ngoma hili sema tu limekosa promo

millitarybattalion
Автор

Mac dizzo kwa mbaaali kaniletea geez mabovu

mpjozzegalvanize
Автор

❤floww za kiume mmamae...huyu jamaa ni nyoooko...unju bin uniq❤❤

MaximeMasinga
Автор

Hii ndo Nyimbo yangu bora kwenye hii album

Galilayatz
Автор

Unju 👑 nikama nyoka kajuvua gamba kalud kua kijana me kama GWANTA nampatiza jina UNJU A.K.A BIG SNAKE 🐍🐍

StarGwanta
Автор

Ibrozama 🔥 Mac d 🔥🔥 Mbishi 🔥🔥🔥🚒 WAITE FAYA

TsarMao
Автор

Daaah Mbishi umetisha sana, Yani hapa naona Shakur ft Bob Marley...🥂

Ndokezi-
Автор

Alafu kuna machoko flani wanamzalahu unju bn upupu kumamamake iyo nipumbu ilio simama
Saw wangu

KadogoMwana-bo
Автор

Unjuu...one man army..hawakomboi hommy...unyama mwingi bloody

allymwanza
Автор

Can't stop listening to educational music

wycliffhezron
Автор

Huyu ndo Nikki mbishi salute bro 🙌 🙌🙌 hatar sana,

RAHIMULEMU
Автор

Ngoma kali sana...sema hapo kwny chorus angekuwepo one six 🔥

gotintito
Автор

Big up yourself Brother Nikki, tunakuheshimia sana 🇷🇼

gehhometv
Автор

Niki humu humu wataelewa kama unaanza😂😂🎉

mdachiog
Автор

its all fire, ,mbishi in his own zone 🔥🔥🔥🔥

peterkayanda
Автор

Asante sana kwa kumleta Mac D tul miss sana vocal zake Mkwajuu umeeleweka sana huu umegusa maisha ya jamii kubwa

christianbihemo
Автор

Pamoja sana upo kwenye njia yako siku zote

abeljaphet
welcome to shbcf.ru