WEMA Sepetu Akicheza Iokote Amwaga Miuno Mlimani City

preview_player
Показать описание
LIVE: RED Carpet Birthday ya Wema Sepetu Mlimani City

Usiku wa Septemba 28, ulikuwa ni wa furaha sana kwa Muigizaji nguli Bongo, Wema Sepetu ambaye alikuwa anasheherekea siku yake ya kuzaliwa.

Hafla ya kusheherekea siku yake ya kuzaliwa ameifanya katika ukumbi wa Mlimani City ambapo siku hiyo pia amezindua filamu yake yake 'Day After Death' ambayo ameshirikiana na muigizaji nguli kutoka Nchini Ghana anayeitwa Van Vicker.

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Wema nakupenda bureeee wenye wivu wajinyonge wapi team wema milove km yote

nillamsaid
Автор

A Kenyan fan here aki sema regesha juu mwili wako u looked wow

winneiwaka
Автор

Best memories, yani hii ndio kumbusho yangu ya wema akiwa na mwili, walai hio mavazi ilinipendeza saana, na ikaendana na mwili, I wish ungekaa tu na hio mwili, sio mbaya mwonekano ya ss, but I prefer this body of yours wema, yani ulikua mwaaaah.

sakeenakenya
Автор

💕💕💕💕💕my forever actress kwenye bongo movie mengine naawachia, wema a good actress, since day one

dasaky
Автор

Hey wema ni sawa na umbo lako tz sweetheart nakupenda sana tangu nikiwa mtoto paka mwisho wenye chuki wakuchukie lakini awawezi kukufikia nakupenda sana wema

brendachepkemboi
Автор

Wanaokuchukia wajinyonge your my favourite lady your amazing, you inpire me with what you do you have a beautiful heart high sense of humour you make me stronger every time i see you i feel i am a super women love yourself lady you are my role model love you lots

khadijakamus
Автор

Jamani me mwendo tu unajua kucheza jamani hii video hainichoshi mnaosema hajapendeza mlitaka avae magauni ya nguva lazima aende na fation sio kila sherehe magauni tu lazima MTU ubadilike km umekubali gonga like tusonge

zuenaomary
Автор

Umependeza kupitiliza Wanasemaga Kadamshi ..gonga like kama umependezwa na wema akicheza lokote👏👏👏👏

momodoha
Автор

Nakupendaga bure wema Aki the same God who blessed Sarah and Abraham let Him remember you your miracle is coming soon in Jesus name

marykamando
Автор

wema nakupendaga sana Mungu akuraisishiye katika mambo yako

tuyimuhimbakazililyrahmatu
Автор

wema mma umzuri maashaallah I love you

ibrahmabrah
Автор

Wema anatuchanganya apa ilikuw mwaka wa 2018 alikuw ametimiz myaka 30 ssa mwaka huu aje awe na myaka 33? Kma bdo unaangalia hii video octoba 1 gonga like apa

OuhlanHafsa
Автор

Jamani huu mwili wake aliutupa bure na alikua anapendeza sasa hivi amebakiza majuto ni mjukuu jaman dunia usikuhadae mwanadamu mwenzangu ona sasa huyu alivyo bakiza kichwa kwa sasa.

upendowakwelinaamani
Автор

Love you Madam, khery ya kuzaliwa Madam, Allah akupe umri mrefu na Afya njema Ameen yarrab 🙏

saumuhassan
Автор

On my views.. this was the most amazing time of wema.. she might have even better moments.. but this was one in a million 🤣🤣 times goes we grow ..

swisswings
Автор

wema sijui nisemeje nafura mpaka napagawa jamani more love wanaokuchukia watajua hawajui mwaka ndo wema sepetu mtu na watu, , , , wenye miroho ya chuki mpambane na hali zenu

doreenwanyonyi
Автор

Dah wema zaman ulkua mzur mwenyew cjui nan alkushaur utoe umbo lako alaaniwe kwa kweli

alibell
Автор

Jamani mtt wa wenyewe alitesa na maisha Sasa akiamua kuchill Kuna ubaya gani Kuna wakati yafaa utie pause kwenye maisha

zainabomar
Автор

😭😭😭😭😭Sweetheart we need this body back please 🙏🙏🙏🙏

esthermoraa
Автор

ii wimbo inanifanya ni chizi good song

carolinanjerimaina
welcome to shbcf.ru