UHURU WA KWELI WA KIFEDHA - JOEL NANAUKA

preview_player
Показать описание
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Hapa kwenye kustaafu ni muhimu Sana, 2024 ni mwaka wangu wa mabadiliko

pauljosephtarimo
Автор

Joel nanauka ww ni speaker namba moja yaan duh nimenyanyua mikono .🙌

salehabdallah
Автор

Joel, Joel, Joel.... Nimekuita Mara tatu wewe ni Ya lulu katika maisha ya watu kwa elimu unayotoa.... Ubarikiwe sana kaka...

hongerakimbwala
Автор

Naitwa Ezekiel Panga nimekuwa nikijifunza vingi kutoka kwako, kwa Tanzania tunayo itegemea wewe naweza kukuita Nyerere wa kizazi kipya katika kuiongoza Taifa itokane na changamoto kiuchumi na watu wake wawe huru kifedha, nakuombea mungu akuhifadhi na kukufikisha ikulu kama yusufu kwani ujumbe huu una serve Taifa kwa Ujumla God be with you MY ICON MENTOR NANAUKA! !

ezekielpanga
Автор

Yaan kila nkisikliza mafundisho yako najikuta nan uchungu na hela yangu

ImeldaBahath
Автор

God bless you brother Joel I'm still a young man but you show something through your videos and books so now I'm looking for the freedom of money....alwtogether thanks

DaimZubery
Автор

Aisee kwelii nimeamin mungu anakubarik kupiti mtu ww umekuwa mtu mhimu kwangu

AnoldMoabu
Автор

Elimu ya fedha nikweli watu hawana kama ingekuwepo Kila mtu angekua zaidi ya hapo alipo kwakweli ipo ivo asante sana kaka Joel.

SaimonKazimoto-xtzo
Автор

Tungekuwa na watu 10 wenye maono kama wewe, nchi yetu ingepiga hatua kubwa. Elimu yako imewasaidia wengi. Barikiwa sana

fredyledidi
Автор

MUNGU akubariki sana kaka Joel umenivusha pakubwa sana, video zako na vitabu vyako vimekuwa msaada mkubwa sana kwangu, nilikuwa kwenye madeni ambayo hata sikujuwa natokaje ila mpaka hapa siko na madeni biasha angalau imesimama naweza kutunza na akiba, Mungu akupe maisha marefu kaka

HelenKitunda-xdrb
Автор

Kaka joel nanauka wewe ni zaidi ya walimu

GeraldElias-sj
Автор

SOMO ZURI SANA NIMEBARIKIWA NA UJUMBE WAKO NAOMBA KUULIZA KAMA HIZO DISPLAYED NOTES ZINAPATIKANA

ANTONIMAMSERI-jmhe
Автор

Nanauka we ni mwalimu akika naomba elimu unayofundisha mitahara ya elimu yetu mbona haifundishi hii elimu naomba serikali ifundishe elimu hii darasani Shure za msingi Hadi level zote za elimu mungu akubaliki

MagesaKasoga
Автор

Nakushukulu sana joel mimi nimiongoni mwa watu nilio fanikiwa kufikia malengo kutokana nadarasa lako

MaarifaMwashitete
Автор

bro, u are my best motivational speaker in tz.

JumaJuma-tq
Автор

Nakuelewa kaka na nayafanyia Kaz inshallah nitafika tu, ,kwauwezo wa mungu na akiniwezesha kwakunifanikisha nakufanikisha

jamilaathumani
Автор

Napendaa masomo yako yanatupaa upeooo waa kujuaa mambo

MohamedSarahani-gkjx
Автор

Kaka Joel naomba kupata vitabu vyako, ,mfano money formula, , maaana nahangaika Sana kuvipata

EmanuelMahushi-iw
Автор

@Joel nanauka nilikuwa naomba ufundishe na watu wanaobeti awatak kufanya kaz ni kubeti na akifanya kaz akipata hela yote inaishia beti yaan maendelea akuna hela zote zinaishia beti😭 naumia sana

NuruNurukassim
Автор

This is the knowledge that many Africans want, although only a very few percent know that if they want this knowledge, there are many of them, realize that the comfort zone in the brain is not correct, and the need we have

EmilyMwalongo-sgru
welcome to shbcf.ru