Zaidi ya watu 150,000 wameuwawa Sudan, katika Dira ya Dunia TV

preview_player
Показать описание
Nchini Sudan vita vya wenyewe kwa wenyewe vya miaka miwili vimesababisha vifo vya watu 150,000 kwa mujibu wa Umoja wa Mataifa. Aidha karibia watu milioni 25 wanahitaji msaada wa dharura wa chakula, kwa mujibu wa shirika lisilo la kiserikali la Action Against Hunger.

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Mmhhhh marudie yetu baada ya kustaafu ni baskeli na kuenda kulima😂😂😂

omarsaid
Автор

😅😅😅😅 mimi nitarudi kwetu mwanza kuvua samaki

michaelbalele
Автор

Ronclif Acha Mambo yako mbokomu kumekuchaaa😂😂

robertchuma
Автор

Uko uko mbokomu tena baskeli hisiyo na upepo😅😅

omarsaid
Автор

hivi viongozi wa sudani wanafanya nini sasa watu wao wanateseka

kasangagregory
Автор

hAPO KWELI. Kustaafu bila pesa balaa tupu

MrDavidigobwa
welcome to shbcf.ru