Moreno Batamba -Mapenzi ya Shida

preview_player
Показать описание
Ajiko Toyambi alias Moreno Batamba alizaliwa 1955 huko Kisangani, DRC akifariki 1993 akiwa na umri wa miaka 38....

Baada ya kuacha Shule Mwaka 1971, Alijiunga Katika Bendi Ya Orchestra Maquis Sasa Bata kabla ya kuhamia Uganda 1974, akijiunga Katika Bendi Ya Orchestra Bana Ngenge, Iliyokuwa Ikiongozwa Na Mwimbaji Jojo Ikomo ambamo walirekodi nyimbo nyingi tajika.
Bana Ngenge Au Kwa Jina Jingine Ilikuwa Ikitwa Bana Moja, Katika Miaka Ya 1970 Iliondoka Kampala Wakaenda Katika Jiji La Nairobi Nchini Kenya.

Baadhi Ya Wanamuziki Waloiunda Bendi Hiyo Ilikuwa Ni Pamoja Na Watunzi Na Waimbaji Jojo Ikomo, N'dala Mobangi, Beya Maduma, Roxy Tshimpaka, Fataki Lokassa Losi Losi ‘Masumbuko Ya Duniya’, Makwanzi Duki, Kuka Mwana Bitala Na Hassan Omari miongoni mwa wengine.

Mwaka 1972 Bendi Hiyo ilivunjika huku Wanamuziki Wengi Wakiondoka.

Mwanamuziki Fataki Lokassa Alisafiri Akiwa Na Bendi Ya Bana Ngenge Wakaingia Tanzania Ambako Kwa Bahati Mbaya Mwaka 1975, Wanamuziki Wa Bendi Hiyo Wakagawanyika.

Mgawanyiko Huo Uliifanya Bendi Hiyo Kufa Na Kuwafanya Wanamuziki Moreno Batamba Na Jojo Ikomo Wakaenda Kujiunga Katika Bendi Ya Les Noirs Mwaka 1976.

Moreno Batamba Aliwahi Kuishi Katika Jiji La Dar Es Salaam Kati Ya Miaka Ya 1978 Hadi 1980, Akitunga Na Kuimba Katika Bendi Ya Orchestra Safari Sound (Oss), Kabla Ya Kurudi Tena Nairobi.

Mwaka Wa 1980 Moreno Alianzisha Bendi Ya Orchestra Moja One, Akiwa Safu Ya Wanamuziki Akina Coco Zigo Mike, Mpiga Gitaa Siama Matuzungidi, Mcharanga Drum Lava Machine Na Wengine Wengi Waliotoka Katika Bendi Ya Shika Shika.

Nyimbo Hizo Zilikuwa Za "Pili Mswahili", "Dunia Ni Duara”, " "Mapenzi Ya Shinda", "Mwanamke Hatosheki", Urembo Si Hoja” Na "Angela " Zilizorekodiwa Mwaka 1981 Na "Urembo Si Hoja.
Kibao Cha "Pili Muswahili" Kilikuwa Mahsusi Kwa Ajili Ya Rafiki Yake Wa Kike Aliyejulikana Kwa Majina Ya Pili Mikendo Kassim.

Pili Alikuwa Mtanzania Waliyekutana Naye Alipokuwa Katika Bendi Ya Orchestra Les Noirs Katika Mji Wa Mombasa Mwaka 1976.

Moreno Kwa Kipindi Kifupi Alijiunga Katika Bendi Ya Orchestra Virunga Ya Samba Mapangala Mwaka 1983.

Bendi Ya Orchestra Virunga, Yaelezwa Kuwa Ilikuwa Ni Bendi ‘Nyota’ Iliyoweza Kupiga Muziki ‘Live’ Katika Baadhi Ya Kumbi Za Jiji Hilo.

Iliwashirikisha Wanamuziki Wengine Wakiwemo Akina Coco Zigo, Fataki Lokassa, Dago Mayombe Na Baadae Moreno Batamba, Ottis Na Samba Mapangala.

Moreno Batamba Alikuwa Akipendelea Zaidi Kutunga Na Kuimba Nyimbo Zake Kwa Lugha Ya Kiswahili. Nyimbo Zake Zilikuwa Zikigusa Hisia Za Jamii Zote.

Aidha Aliimba Wimbo Wenye Mahadhi Ya Taarabu Baada Ya Kuimba Wimbo Wa “Vidonge Sitaki” Akiwa Katika Kikundi Ch Golden Star Mwaka 1993.

Kwa Mapenzi Ya Mungu Nguli Huyo Moreno Batamba Alifariki Mwaka Huo huo 1993, Akiwa Na Umri Mdogo Wa Miaka 38.

Mapenzi ya shida ni wimbo katika albamu Vidonge sitaki (1993) ..

Bonyeza SUBSCRIBE kupata video zaidi....
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Ukifukuzwa kazi itajulikana!! Ukifilisika itajukikana!! Mapenzi wapi likes za huyu jama 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪Kenya tuko gangari 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

dismasngicho
Автор

Know your true friends when you have a problem.

corneliusgikenyi
Автор

This song is singing about my relationship currently, mm napendwa tu mwisho Wa mwezi

albertdalizu
Автор

Have listened to this jam for over 3hrs but I can't get enough of it. Kisumu Kilo bar used to play this in 1993 a lot. Itajulikana

kiraiowen
Автор

The time I was growing up was so so good.God bless the days

setholang-zb
Автор

This is it.reminds me growing up with my late Dad and my 2 big bros.life was hard but i appreciated everything as it was.Great track.

Skyline_empire.
Автор

When KBC was the only radio station playing this song ❤️❤️ TBT..

danwere
Автор

KBC single handedly set the foundation for Kenyans' good taste in authentic music. I don't think we'd be the same if we had the current crop of FM radio stations.

michael_saleh
Автор

It takes me back in 1990s kbc the only radio station.moreno u are legend

calebkipkemboi
Автор

Absorbing the song into my bloodstream seamlessly. Reminds me good old days.

drsatis_factory
Автор

Moreno was agreat composer whose music had lots of issues related to the society.I met him afew days before he passed on .So sad BATAMBA MORENO.

kennedyontuga
Автор

He had a fantastic voice. Reminds me a bit of Madilu System, but deeper.

elywananda
Автор

Wow..this takes me to 1980s and 1990s when music was music. Love it

leonardkimani
Автор

This is a great composition, listening to this jam i can easily jog for 21kms

MykheyMutua-gtph
Автор

WANDUGU ZANGU, THE MUSICIAN WAS REALLY TALENTED ! I WONDER WHETHER THERE ARE VIDEOS OF THIS GREAT MAN !

ernestmsigallah
Автор

Moreno Batamba nime kuelewa huo ujumbe ni sahihi ipo kwenye jamii

chiefmajai
Автор

Thnx for uploading, look for part 2. I love the stanza that says: Ningekuwa yesu ningefanya miujiza, ningebadilisha majani iwe

nyamburanjengah
Автор

Wapi wapiii jamanii waasisi wa mziki huu jamanii..

mahamoudmakotaperfumes
Автор

We can't compare with today's 🎶
Oldies

polycarpokunda
Автор

Covid 19 brought me here...
Tuko wangapi?

maathotep