SIMAMA NAMI BWANA | F Shimanyi| (JMC Official Video)

preview_player
Показать описание
Karibu upate kubarikiwa na wimbo huu mzuri wenye ujumbe msingi juu ya ukuu wa Mungu tangia kuzaliwa kwetu. Kristo amekwisha fufuka sasa tumwombe asimame nasi daima.

Composer: F Shimanyi
Singers: St John Paul Mbeya Choir (JMC)
Audio and Video production:Rajo production

"Kindly subscribe after viewing the video and you will be greatly blessed"
#Nigusebwana #Rajoproduction #kwayakatoliki #Aleluyamsifunimungu
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Such kind of vibrator this song is so amazing. JMC what you have done is good you need to get many congratulations.
Be blessed, , I really appreciate you.

irenekanyerere
Автор

Naupend sana huu wimbo hta haukinai Mungu wabariki sana

valeriampinga
Автор

Hii nyimbo nilikuwa naisikia lakn nikawa sijuwi jina jongrreni sana mungu awazidishie kwakweli daaaa nikisikiliza nasikia uchungu sana kwakuwa nimeamia upande wa pili lkn nipo na nyie munanipa hamasa sana nirudi kundini

upendojohn
Автор

This is so wonderful. Wanakwaya mmependeza kwa sauti na muonekano!💕💕
Hongera sana Kelvin Bonifasi na kwaya yako.💕💕
Hongera kwa mtunzi pia, F. shimanyi, kwa utunzi uliotukuka.💕💕
Hongera kwa Rajo Productions kwa kutuletea kazi safi!💕💕

anastaciamuema
Автор

Hata hapa nilipo niwewe Bwana uliamua kwa kua ulipendezwa nami ni wewe Bwana ulienifikisha

benjaminmasala
Автор

Wimbo mtamu keli napenda ujumbe uliopo kando na hayo mpangilio wadensi wavutia sana

Ama kweli watanzania mko mbele Kwa upande wa kumtukuza Mungu

geoffreynyakina
Автор

Wimbo Bora hujawahi kutokea jamn Raha sana

HabsonKaboma
Автор

Hatari fire . Mzika umekamatama. Jmc nawakubali Sana. Rajo productions mhajawahi kuniangusha

reginaldhhayuma
Автор

💃💃💃💃💃❤️❤️❤️Huu wimbo nlikua na kipande yaan nishautafta unaitwaje hatimae Leo nimeupata daah moyo WANGU hakika umetulia kwa Bwana ongereni saana kwa kutuinjilisha🔥🔥🔥🔥

olicej
Автор

Hongelen sana JMC family ....MUNGU azid kuwainua zaid na zaid, ili mzidi kumtumikia yeye kaz nzul mnastahil

wrvgvkj
Автор

Song nzuri nimeipenda kila niamkapo lazima niitazame!!! Singers weny saut nzuriii ka kinanda

bahatingongonale
Автор

Hongera jmn MUNGU awazidishie nguvu kuitangaza injili Kwa njia ya uimbaji

fainesymeya
Автор

JMC, basiii tuuu ITOSHE tu kusema kuwa Mungu awape HEKIMA katika huduma yenu ya uimbaji, mnagusa maisha ya watu sana Mungu aendelee kuwapa HEKIMA. Wimbo narudia ten times sichoki, UJUMBE, melody na dressing code you are the best ever. 💕❤️

jumamaduka
Автор

This is now my number one song, I also crush on someone sana kwa hii choir, sijui nitampata vipi.., can someone help me.hahahaa..

samuelwachira
Автор

Katika kazi hizi zote mlizotoa, , , kwa upande wangu hii iko poa sana yaani sina cha kusema Bali nasema good job...Hongereni sana

justinmbai
Автор

Nasikia furaha San kusikiha wimbo hu uwa nasikia saut ya mama yangu japo nipo nae mbar lkn nasikia furaha San mama yangu pia anaimba yaaan nikaisi wimbo huuu najiisi nipo na mama yangu karibu ❤❤❤❤❤❤❤❤

SterraJuma
Автор

Mungu awabariki sana kwa utume mzuri wa kumtukuza Mungu. Tunabarikiwa sana.

priscaemmanuel
Автор

waoooow hongera sana kwa wimbo mzuri sana

peterkilambo
Автор

Najivunia kuwa mkatoriki hakika bwana umesimama nami..👏🙏 mbarikiwe sana wapendwa.

victoriaevod
Автор

Huu wimbo umejaa Upako aisee, Jamaa mungu awabariki sana katika uijilishaji kwa njia ya nyimbo, Hakika mumeimba vizuri sana, Mungu awabariki.

alexkihongola
welcome to shbcf.ru