WOLPER KUJIFUNGUA MTOTO WA KIUME, MCHUMBA WAKE KAFUNGUKA “WALIONGEA SANA HAWEZI KUZAA”

preview_player
Показать описание
Hatimaye Jacqueline Wolper kujifungua hivi karibuni. Mchumba wake Rich Mitindo amethibitisha na kufunguka kuwa wanategemea mtoto wa kiume hivi karibuni. PLAY kupata taarifa Kamili.
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Maashaallah mungu akukuziee mwanao dada wemiye

zeyzey
Автор

Mungu anafanya yake kweli kwasababu irisemekana kama hanakizazi 🙏🙏🙏🙏

nishimwelolo
Автор

Mungu akujalie umbebe mwanao mlee katika maadili mema yakumpendeza MUNGU

penuelyolotu
Автор

wakati wa Mungu ndio wakati sahihi mungu awalinde awatunze na mpunguze mambo mengi mitandaoni

happypaizony
Автор

Hngr mway Mungu akusaidie....ujifungue vyema

neemagondwe
Автор

Utamaduni wa kuonyesha matumbo yenu ya ujauzito, ni utaratibu wa hovyo!

jumakapilima
Автор

Ukweli unabaki kuwa kweli tu. Kafiri Haoni Haya, Toto la kike Tumbo Nje, kama haitoshi tumbo lina michoro mh! Yamezini Halafu Yanajitangaza. Poleni.

seremenikibwene
Автор

Mungu amsaidiye ajifungue salama kweli

rehemadiye
Автор

Tatizo kwani wadada mnaacha matumbo yenu wazi, angalie nyuma mama zetu walitunza hivi MIMBA zetu da!

elizabethmajaliwa
Автор

Hii dunia ishafika mwisho watu wanazini ikisha wanajisifia kpeana mimba nje ya ndoa

yahyahamad
Автор

Woow Allah Grant you an everasting happiness in your

miriamhumphrey
Автор

Kweli wakati wa mungu ni wakati sahihi

subiraomari
Автор

Huyu no wolper???mbona anaonekana tofauti???yaani toka gigymoney azae, basi wasanii wrote wanazaa pia..maahaAllah..

kekiplusandonly
Автор

Mungu awabaliki dada jack ajifungue salama😍 alafu lijejitu liseme mtoto si wako wakati unalea mimba sijui wanakuwaga wap

rehemaiddsalehe
Автор

Hivi nyie wasanii kuwekaga mitumbo yenu nje hiv hamuoni kama mnajidhalilisha puu!!😎 wanawake tunakwama wapi Mnaona sifa mnatia aibu

hawahabibu
Автор

Jaman yan ninavokupenda ww dada duh mungu akukizie

lydiachembe
Автор

Tausi kawafungua macho kuficha tumbo lake baada yakujifunguo kupost tumbo bas utopolo wamekalili bongo shida

ashuramakerega
Автор

Kwanzaa umezaa na hb kinoma hongera umekata midomo ya watu

witnessmsokwe
Автор

Millard ayo mm nimejifungua watt mapacha mbona hunitangazi🙄🙄🙄

aeshamrange
Автор

Kwakweli nachukia Sana mwanamke anaeonesha litumbo lake likiwa limeshiba mimba, kwani ukiwa umejisitiri tumbo Hilo ndefu SI linaonekana tu, nachukiaa mnooo sijui kwanini?au ndo maisha ya ustaaa...jamani nachukia tumbo linaonekana tu....ka mlima Kilimanjaro tutajua tu unayo

chrismarco