Wakazi wa Saika walalamikia ujenzi wa ua

preview_player
Показать описание
Wakazi wa mtaa wa Bethsaida huko Saika kwenye barabara ya Kangundo wanalalamikia kubomolewa kwa ukuta uliozingira mtaa huo, hatua wanayosema inahatarisha usalama wao.
Ubomoaji wa ukuta huo yasemekana unalenga kutoa fursa kwa ujenzi wa barabara mbadala kupitia mtaa huo, kuelekea jumba lililo mkabala. Wakazi hao wenye ghadhabu wanasema ubomoaji huo ulisababisha uharibifu mkubwa na kutaka mamlaka husika kuingilia kati.

Connect with KBC Online;


#kbcchannel1 #news #kbclive
Рекомендации по теме
join shbcf.ru