Hemedy phd - hallo ( Official Lyrics Video )

preview_player
Показать описание
Hemedy Phd - hallo Lyrics Video

Directed By Khalfani Khalmandro +255 716 061 606
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

napenda nyimbo zote za hemed katulia hana vurugu yan gonga like kama unakubaliana na me

latiphamalyak
Автор

Nipeni like wa kwanz kuview hemed km hemed in on fire

justinchris
Автор

Ila bongo Hii ngoma ni yakupata 1M views ndan ya masaa... Sema all is good tunaopenda mziki mzur tutackiliza... Ngoma flan hiv ya kuombea maji ya kuoga... Big up bro

jossnick
Автор

Hemedy hapo ulitulia mzey..umeimba kitu ambacho kwenye life la kila siku vinatutokea..!!!eeebana eee..keep it up, kama ngoma ni Kali kwa kama ilivyonigusa mim gonga #like!!!

culture
Автор

Huyu jamaa ndo namba moja bongo kwa mziki mzuri na Safi sijui kwa nini asifanye mziki seriously

lulanjamd
Автор

Wimbo mzuri sana unahisia kali mpka nimesisimka mwili

shakiratanzania
Автор

Huyu kaka anajua sana kuimba ooooh you umefanya mwili usisimke

JamilaMusitaf
Автор

pap nation hemed hujawahi niangusha always wewe ni bora nakubali sana

djmoolah
Автор

Kama umeikubali gonga like 👍 ili tujuane 🇧🇮🇹🇿

irambonaericwamakamba
Автор

Msenge umenipa stress za
Fresh bhana bonge LA ngoma#

whats_happening_here-
Автор

Kila mtu ana nafasi yake kwenye maisha na kwenye vipaji pia. Hingera Hemed . Wimbo mzuri na unatizamwa na watu wa lika zote japo unahusu mapenzi

hatimalnaamani
Автор

😢😢😢duh unanikumbusha enzi hizo nilipokuwa na demu wangu

AliHamza-drhq
Автор

That's ma boy never let me down ✌the voice is fire🎵

aliceemuro
Автор

Yani inasikitisha kuwa sikuoni pale unapaswa kuwa good music 🎶 bro papi

sassboy
Автор

since day one...sisi hatuimbi imbi.... tunaimba ili uskie nn tunaimba...#good music hemedy✊

famorsn
Автор

My favourite singer hemed ur the best unaimba bwana 💘keep going 🔥🔥

queenbaddest
Автор

Nachokupenda hemedy unaimba kufurahisha siyo kushindana au biashara, , , pia kuimba unajua especially nyimbo za emotional an slowly

hyasintakundy
Автор

Nipoo na wewee nielewee uko mwenyeeweee na sipoo nikuache weweee uchezeeewee na mwengineweee🥰🥰🥰🥰🥰

mariasaimon
Автор

Good song be bless!! nakukubali Sana Kaka

ernestadriano
Автор

PHD nakukubali sana brother songs zako zote zinagusa life yangu pig up

ezapesambili
visit shbcf.ru