MO DEWJI ACHARUKA KIPIGO cha SIMBA, 'ALIYEHUSIKA AWAJIBISHWE HARAKA HAIKUBALIKI'...

preview_player
Показать описание
MO DEWJI ACHARUKA KIPIGO cha SIMBA, "ALIYEHUSIKA AWAJIBISHWE HARAKA HAIKUBALIKI"...

⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:

⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)

⚫️ OUR PLAYLISTS:
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Haya Mambo ya usemaji tuyaachie vilabu vidogo tupige soka... Porojo kwenye soka hazina nafasi

masoudabdoul
Автор

Malengo yalikuwa ni kwenda nusu fainali. Sasa mwajiriwa akishindwa kutimiza malengo unabaki naye wa nini. Na ulikuwa na maana gani kumpa malengo. Kwa kuishia round ya kwanza inamaanisha kwamba Gomesi kavunja mkataba. Aondoke haraka. Mrudisheni Siven LA kama haiwezekani aje Ausems. Lakini katika makocha wote waliopita Simba hajawahi kupatikana aliye bora kama Alcantra. Kama amapatikana arudi atuvushe kwenye kombe LA shirikisho na ligi ya NBC. Tukibaki na Gomezi atatutoa kabisa kwenye reli. Hakuwa cocha mzuri toka mwanzo ila alikuwa anatembelea upepo wa Siven.

charleskuyeko
Автор

Mnatuujumu Simba tunaumia sis mashabiki

omardihenga
Автор

Aliyehusika ni kocha wetu. Huhitaji kuongeza kiungo wakati unaongoza goli tatu. Mfano, Banda aliingia kufanya nini. Mkude mnakalisha nje kwa ajili ya nini. Wawa alitakiwa apumzike aingie Keneddy, na Lwanga atoke aingie Mzamiru. Kocha hakuna hapo. Kazi kumbania Kagere na kumchezesha Dilunga ambaye naye mechi mbili hana jipya

rumanyikajoe
Автор

Simba hii haina maana ya kwenda kuangalia Kwanza Mimi nikimwoona tu bocco uwanjani napata kichefu chefu jamaa kazeeka Hawa tff wamewapa uchezaji Bora ya Nini mo mnapoteza hela bure mnalipa watu Kama bocco mzee kagere kapombe mugalu ya Nini waondoke wabaki wengine hata balya na yeye ni matako dilunga uchafu kwa Nini toa watu

simonzelote
Автор

Hii Simba ni matako msimu huu ni kuuwa watu na presha

simonzelote
Автор

Tumeyataka wenyewe...
Ety mwijaku msemaji wa klabu
Tumejishusha

masoudabdoul
Автор

Malengo yalikuwa ni kwenda nusu fainali. Sasa mwajiriwa akishindwa kutimiza malengo unabaki naye wa nini. Na ulikuwa na maana gani kumpa malengo. Kwa kuishia round ya kwanza inamaanisha kwamba Gomesi kavunja mkataba. Aondoke haraka. Mrudisheni Siven LA kama haiwezekani aje Ausems. Lakini katika makocha wote waliopita Simba hajawahi kupatikana aliye bora kama Alcantra. Kama amapatikana arudi atuvushe kwenye kombe LA shirikisho na ligi ya NBC. Tukibaki na Gomezi atatutoa kabisa kwenye reli. Hakuwa cocha mzuri toka mwanzo ila alikuwa anatembelea upepo wa Siven.

charleskuyeko