Herufi G,S,J,V,K,W,,,..F,R,H,T,L,X,, kwenye mafanikio na changamoto.

preview_player
Показать описание

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Ni kwel jaman mjomba wangu r anachangamoto na baba yangu ni f anachangamoto sana

VickKulekana-siib
Автор

Habar nataka kujua jina la s na f kwenye mahusiano likuwaje

sagidarashid
Автор

Duuuu. Ni hatariii Kaka. Baba yangu Jina lake lilikukua ni George. Na Lingine ni S. Alikuwa na bahati Sana ya fweza. Naamini Sana maneno yako. Mungu akulinde na kuzidi kukubariki.

annageorge
Автор

Kuna Herufi A mpaka Z katika uchambuzi wa mambo tafauti tafauti pakua tu hapo utapata jibu lako

allykk
Автор

Mm Jackson napaswa kun na mwanamke mwenye jina gana maan mahusion yangu ni sevelina

jacksonkazana
Автор

Nikweli saana...nimekua karibu na f na R..wanaumwa na nimthihani nomasaana

mamaabduli
Автор

Je kama naitwa salama napaswa kuoleka na herufi gani

kobxtrv
Автор

Kaka Asante mungu akubaliki 🙏 weweweeee 🔥🔥🔥🔥

juliethylukindo
Автор

Sasa jmni tutafanyaje na tushapewa hatuna bahati kweli changamoto ninyengi kwangu

khadijasheedad
Автор

Do kote nipo mimi v na kwel nipo hivyo

VickKulekana-siib
Автор

Tufanyeje ili tupate nafuuu tumezaliwa tushapewa hayo majina kaka

Rosefrances-bxwo
Автор

Nilizaa mtoto akaitwa Michelle but baada ya miezi kama 6 hivi akabadilishwa kuwa Salome...sasa Yuko kwa s ama m...please niambie

SienaKalekye
Автор

Sijaelewa apo unavyosema yanafatilia yani nayenyewe yana changamoto au vipi

latifachilala
Автор

Mimi jina langu Lina hefufi G, kwenye ndoa niwe na mwanamke mwenye hefufi gani mwalimu?

wwqyzcs