ALICHOSEMA KUSAGA KWA MILLARD “NI TAJIRI KULIKO MIMI”

preview_player
Показать описание

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

❤❤huyu mzee kusaga tupo majirani Dubai kwake ni mzee mtu mzur sana ana moyo mzuri❤

madinajamada
Автор

Hapo Mzee unakosea kusema mungu hawezi kuwapa watu wote et sbb ya wingi sio kwel mungu Ni muweza WA kila kitu mzee

AlyadamMazruy
Автор

Allah ametakasika kwa Kila mapungufu. Yeye ndie anaeruzuku humpa amtakae na humnyima amtakae pas na hisabu

HizzaMtunguja-oour
Автор

Ulichokisema boss milad ayo anaheshima Sana kwa kila MTU Wala hajawahi kujikweza

SEMBULILyimo
Автор

Hajakosea Mungu anaangalia juhudi pia kuna wa2 tunategemea kupata pasipo juhudi na maarifa

OmickiMichael
Автор

Tafuteni hela acheni kutafuta pakujishikilia katika kauli za matajiri kwa kuhisi wamekosea

kshayofurniture
Автор

Tunakufungulia dunia kuwa unachotaka 💙💙

AmosyElihudy
Автор

tukipata watu wanne kama big joe tanzaniabitafika mbali mungu akutumie uunde chanel hot tunaamin tutafika mbali

abilityemmanuel
Автор

FOCUS.
BIG ACHIEVEMENT
TWENTY FIVE PLUS
SHARE HOLDERS
GOSPEL
ANOTHER LEVEL
VALUE
WHY
FULLTIME
CONTENT
CHALLENGE
STRAIGHT
WAS THE SAME

HIVI HAYA MANENO YANA MAANA GANI SIJAELEWA KABISA

kabhikachambala
Автор

yuko serious Millard ni bonge la tajiri

Itigmedia
Автор

Exactly for what you're talking May God suprim

KassimHanga-xrrb
Автор

Hiyo saa aliyo vaa Millard mnaiona lakin😊

Skyfire-
Автор

Clouds media ni nembo ya Tanzania 🇹🇿 kataa huo ndio ukweli

NyandaEndelea
Автор

Huyu jamaa ni tajiri, Siri ya tajiri ni kutojisifia kuwa anazo.

ukk
Автор

Ningekuwa namwa na namna yakuonna na big Kusaga ningemuuzia wazo lango naamini atalipenda pia akilikubali linaweza zaa matunda.naomba Millard Ayo unifikishie ujumbe wangu kwatajili

johnaly
Автор

Kwahyo kupiga gospo ni kimuheshimu mungu😂😂😂 we are not serious

shwaibukhatibu
Автор

KUSAGA KAMA KUSAGA KTK UBORA WAKE❤❤❤❤❤❤❤

thomaskiponda
Автор

Ni kwel milardy ana discipline hata ukimuangalia kwa macho ni kijan mzur mungu akulinde na akupiganie katika njia zako❤❤❤

MiishHassan-qmet
Автор

Mzee ana maono makubwa sana Mungu azid kubariki maono yako na kuyapa kibari

johnmussa
Автор

Mzee kama amesema haya Kwa kukusudia kua mung hawezi kuwapa wote Kisha akasema atawezaje hii ni hatari kuweza anaweza ila mola wetu alivyopangilia utaratibu wake ni kutowaweka ktk Hali Moja ama kama kuweza anaweza

yaasirimuhudi
join shbcf.ru