Maneno matamu ya madebe lidai #shorts

preview_player
Показать описание

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Wanawake wasasa asubuhi anawasha data kwanza aone ya dunia 🤣🤣🤣

latifaonesmo
Автор

Sasa kuipenda ndoa si ndio kumpenda mume au ahhh msituchanganye

TopmgGamingg
Автор

Hapa mm sijaelewa nishike lipi ngoja niwashe data nione ya dunia

ashazuber
Автор

nmekuelewa hata Nina yangu 1, , UKIMWONA MUMEO ASUBUHI CHA KWANZA, , KUFANYA NI KUKUPA WALLET YAKE AMBAYO INA PESA, BASI UYO KAFUNZWA KUJUKUMIKA, 🤔🤔🤔😏😏😹😹😹 niendelee ama

brendammas
Автор

Nakwelewa 😂😂😂❤🥰hila USAFI wa muhimu kwenye NDOA hakuna mwanaume mwenye ANAPENDA uchafu✌😘hata hakufanyie vyote na unapo rudi nyumbani ni uchafu ni balaaaa😅😅🤔

vanebichanga
Автор

mi unanichanganya Sasa Wacha niamke Asubuhi niwashe data kwanza🤸🤸🤸

happymwaseba
Автор

Je ni vipi tumjuwe kama mume na yeye kafundishwa huko kwao kuwa awe mume wa kweli

hamidaalhabsi
Автор

Kila asubuhi kuamka mm huoba bfr mambo zingi with God everything is possible

margaretnjoronge
Автор

Nani amegundua jamaa haelewi anachoongea😀😀😀😀😀

jacqueli
Автор

sasa jameni kuandalia mzee pia ni mbaya..si nmedhny ni mzuri nimwandalie akishaenda nifanye usafi

beatricechepngeno
Автор

Hii ni kabla ya smartphone, mashidano ilikuwa usafi, sasa tuko fb

paulinejane
Автор

Nyakati za sasa watu wako busy kutunza waume zao wasije wakaporwa🤣🤣🤣🤣

TheMvenTvfamily
Автор

Mapenzi ya mwaka 47 yamepitwa na wakati.
Wanawake wa siku hizi hawataki mzaha 😁😁😁

Mamatonny
Автор

apo nimeona mie kumuandalia mume ndio sahihi..akiondoka unafanya usafi

fatumaomary
Автор

jibu ni hili usafi kwanza afu ndo kula banna utakuleje ukiwa mchafu sijui mmenielewa

ommyskillz
Автор

Mimi hapo sijakuelewa kwasababu zote ni sawa kutunza ndoa na mume zote ni za maana sasa tueleze wamaanisha nini

geengeen
Автор

Smartphone mwizi mkubwa!!!! Yote nishafeliii

janelayala
Автор

Ukiona mwanamke anamka n kuwasha data tiktok uyo mwanamke n Nani kwa ndoa sasa

lazizibeibei
Автор

sasa apo Bora ni kipi kumtunza au kumtunza ndoa

mwanahawasadiki
welcome to shbcf.ru