Jina la Yesu salamu/Nyimbo za Kristo/Tenzi za rohoni

preview_player
Показать описание
Fungu 1:
Jina la Yesu, salamu! lisujudieni,
Ninyi mbinguni, hukumu, Na enzi mpeni.
Ninyi mbinguni, hukumu, Na enzi mpeni.
Fungu 2:
Enzi na apewe kwenu, watetea dini;
Mtukuzeni Bwana wenu, Na enzi mpeni.
Mtukuzeni Bwana wenu, Na enzi mpeni.
Fungu 3:
Enyi mbegu za rehema nanyi msifuni;
Mmeponywa kwa neema, Na enzi mpeni.
Mmeponywa kwa neema, Na enzi mpeni.
Fungu 4:
Wenye dhambi kumbukeni ya msalabani.
Kwa furaha msifuni, Na enzi mpeni.
Kwa furaha msifuni, Na enzi mpeni.
Fungu 5:
Kila mtu Duniani msujudieni,
Kote-kote msifuni, Na enzi mpeni.
Kote-kote msifuni, Na enzi mpeni.
Fungu 6:
Sisi na wao pamoja tu mumo sifani.
Milele sifa ni moja, ni “enzi mpeni”.
Milele sifa ni moja, ni “enzi mpeni”.
Рекомендации по теме