Jux - Sawa (Snippet Acoustic Version)

preview_player
Показать описание
MELODIEZ is finally here. Ndugu zangu wapenda muziki wangu. Kwa muda mrefu nimekuwa nikipokea messages kutoka kwa mashabiki zangu kuhusiana na kazi zangu za muziki. Message nyingi zimenionesha kwamba kuna vipaji vingi sana vya kuimba huko nje, ambavyo vingependa kupata nafasi ya kuimba na mimi kwa namna moja au nyingine. Kutokana na message hizo, tumeona tuanzishe kitu kinaitwa MELODIEZ. Hii ni special kwako shabiki mwenye kipaji cha kuimba na unayependa nyimbo zangu. Nitakuwa narekodi video fupi ya wimbo wangu (kama hii hapa), accoustic version, nitaimba verse moja, halafu wewe jirekodi video ukiimba verse ya pili, ipost kwenye page yako, tag #Melodiez, @juma_jux, pamoja na page ya @africanboy_hq on Instagram, mimi nitarepost videos zote. Video ya mtu atakayeimba vizuri na yenye comments na likes nyingi ndiyo itakayochagua mshindi. Mshindi atapata nafasi ya kurekodi video na mimi wimbo wote accoustic version tukiwa na band yangu. Lakini pia, atapata zawadi ya full collection kutoka @africanboy_brand on Instagram. Challenge hii iko wazi kwanzia wakati huu hadi Jumatano saa sita mchana. Let’s go my people.

#Melodies #KingOfHearts #Sawa
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Ukitaka kupenda Jux anavoimba nenda kwenye show zake akiimba live utaamini huyu jamaa yuko blessed🔥

arnoldsun
Автор

WOW! I DON'T KNOW WHAT TO SAY BUT I'M MOVED AND JUX IS THE BEST RNB SINGER IN AFRICA...NO DOUBT ABOUT THAT.

alphaprinters
Автор

Much love from Kenya, , please never stop singing you literally do magic to our hearts 😭😍

mornasha
Автор

Kama umegundua I next level ya vivan boy eka like apa

shorktv
Автор

Your voice is magical, your ago i was heartbroken and i used to listen to this song daily and cry myself to sleep

paulinendungu
Автор

Alll your songs are the best nakupenda ❤️😘

cindyapolina
Автор

Siwez maliza siku bila kukusikilza ww na kuangalia nyimbo zako ur my no 1 artist
Shusha like wenye same idea

chrissantuschitanda
Автор

Bro I have never see this talent this is number one very nice melody bro your so talented

jumasaidmasud
Автор

❤️❤️❤️❤️❤️❤️🎶💯 I love how his voice break. Very emotional🔥🔥🔥

yvonnerichard
Автор

Afrer (Uzuri wako) this is another world song I ever heared from Juma Jux RNB singer from Tanzania. I see u far bro Jus Pul en go up broh. we support you.

mohamedmaramra
Автор

Jux!! Sawa ❤️this song, , damn! It makes me wanna cuddle and love and love more.
Mnikate vipande vipande sawa💃

nancykanyeki
Автор

The voice, the looks, the swag 😍😍😍😍 every time I watch this clip naskia tu ni ka ntalia aki

sophieatieno
Автор

Yeb man you are doing well ... wasaidie vijana zaid na zaid msitake mafanikio nyinyi tu li umaskini uondoke kwawote

is-mailh.makame
Автор

Lit from Kenya. I'm in love with this song

Mwihakinjorogee
Автор

God given Voice...#Sawa tumshukuru mola kwa sauti hizi tafadhali. Asante

bakermamboleo
Автор

my favorite person ❤️❤️❤️❤️ magical voice 😭

kamakeivictoria
Автор

I wish to be like you Broo lakn cjui ntaanzaje juma jux

sipriandonko
Автор

🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼 Nakukubali too sana yaani ...one love from kenya 🇰🇪 ...Tufanyie wimbo wa SIO MBAYA...💪🏽💪🏽💪🏽

athumanzuberi
Автор

My African boy your voice is of an Angel🥰🥰 love

dorcajohn
Автор

Ndoimeishaaa Iveee yukoukoooo wenzako wameokota

mwanakomboakwilombe
visit shbcf.ru