MSHIKEMSHIKE VIWANJANI-AZAM TV-23/05/2020

preview_player
Показать описание
Mshikemshike Viwanjani leo, mada ambayo imejadiliwa ni ‘Coastal Union, ipo nafasi ya tano katika msimamo wa VPL, ifanye nini ili imalize nafasi nne za juu pindi ligi kuu soka Tanzania bara itakaporejea?’.

Ungana na Ahmed Ally, akiwa na wachambuzi, Rashid Hamis na Jesse Mukami.

Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:

Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
Рекомендации по теме