Wachezaji Yanga wakiwa na watoto wao baada ya kuvaa medali za ubingwa wa NBC PL 2023/24

preview_player
Показать описание
SHEREHE ZA UBINGWA | Tazama wachezaji wa Yanga wakielezea furaha yao baada ya kukabidhiwa kombe la ubingwa wa #NBCPremierLeague 2023/24 jioni ya Mei 25, 2024 mara baada ya mchezo wao dhidi ya Tabora United, ambao Yanga walishinda 3-0, Benjamin Mkapa Stadium.

Katika sherehe hizi sehemu kubwa ya wachezaji wa Yanga walikuwa na watoto wao, wakiwemo Abutwalib Mshery, Nickson Kibabage, Dickson Job, Bakari Mwamnyeto, Abubakar Salum Sureboy, Jonas Mkude na wengine.....
Рекомендации по теме