Naibu Rais William Ruto awarai wakazi wa Kaunti ya Nyeri.

preview_player
Показать описание
Naibu Rais William Ruto amepeleka siasa za ke za kuwa Rais wa tano katika kaunti ya Nyeri. Huku naibu Rais akionekana kubadili mbinu yake ya kukampeni. Katika kaunti hiyo ya Nyeri ambayo imekuwa ya kwanza kushuhudia mazungumzo ya ana kwa ana baina ya timu ya Ruto na wafanyabiashara wadogowadogo ili kuleta maendeleo zaidi. Kati ya waliopata fursa ya kuzungumza ilikuwa David Ndii ambaye ni mweledi wa mambo ya kiuchumi. #TaarifaKuu #LookUPTVNews #LookUPTVKE
Рекомендации по теме