SHETANI HAKUSEMA UONGO ALIMWAMBIA EVA UKWELI

preview_player
Показать описание
KARIBU IPM TV.

HUDUMA HII YA EMBASSY OF GOD FOR ALL NATIONS INAYOONGOZWA NA PROPHET IPM INAPATIKANA DAR ES SALAAM TANZANIA MBEZI BEACH MBUYUNI UKIFIKA ULIZIA KWA PROPHET IPM. AU PIGA SIMU

+255 757 672 666
+255 714 284 419
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Dhambi ni kuvunja sheria za Mungu, alisema usifanye ukifanya umevunja sheria na shetani kazi yake ni kuwashawishi wanadamu kuvunja sheria za Mungu. Mpinge shetani kwa kuzijua mbinu zake za kupotosha.

karisandenge
Автор

Mtumishi nimekuelewa sana, sema wengi wetu tunaupeo mdongo wakufafanua mambo ila ulicho kisema nicha kweli kabisa, mungu akuweke sana mtumishi, me ni muisilamu ila huwa nakufatilia sana kuhusu maubili yako.

ramadhanipadon
Автор

Kwan huyu mpiga kinanda analisikia neno la mungu kweli au ni mbobevi ktk neno hana haja ya kusikiliza jaman mungu tunakupenda ni wachache Asante ipm

BeniadAjuna
Автор

Maandiko matakatifu yako wazi, shetani ni muongo hakusema kweli. Mwanzo 2:17; Mwanzo 3; Mwanzo 3:4-6 Shetani ni muongo, Yoane/Yohana 8:44; Ufunuo 12:7-12; Ufunuo 20:1-2, 10-15.

Watumishi wa shetani 2 Wakorinto 11:12-15

Pia anadanganya; Ufunuo 12:7-12; Ufunuo 20:1, 2, 10-15

bubasha
Автор

Tuko na macho ya roho na masikio ya kiroho pia nikweli umeshindwa 'kumpindua MUNGU ", kama umesikia hapo, gonga like

YESEWILLIAM
Автор

Mtu huyu amekuwa kama mmoja wetu, ndo ina kuja ile kanuni ya Utatu mtakatifu Baba na Mwana na Roho mtakatifu, huyo ni Yesu zahili ❤❤❤

johnjoseph-rm
Автор

hapo baba nimesoma hadi mwisho nimekuelewa ubarikiwe sana

fredprosper
Автор

😢😢MAMBO NIMAZITO HAYA..UBARIKIWE NA MADINI ULIYONIPA🙌🏾🙏🏾

dragon_tz
Автор

Nondo hizo walokole wanaona dhambi....ubarikiwe sana. Uzidi kuongezeka Africa na Dunia kwa ujumla.🙏

JOSEPHMWAMBONEKE-ww
Автор

Ipm unafundisha vizuri sana .mwwnye asiye kuwa na kitu ndani mweke awezi kuelewa ❤I like big poster I follow from South african

MapesaOredi
Автор

Hapo mchungaji nimekuelewa kuliko siku zone yaani nakupenda, nkweli heva hakuzini bali alipokea mafundisho yauongo .Mungu akubariki sana azidi kukutumia.
Amen

obviousmphande
Автор

42 Yesu akawaambia, Kama Mungu angekuwa baba yenu, mngenipenda mimi; kwa maana nalitoka kwa Mungu, nami nimekuja; wala sikuja kwa nafsi yangu, bali yeye ndiye aliyenituma.
Yohana 8:42

43 Mbona hamyafahamu hayo niyasemayo? Ni kwa sababu ninyi hamwezi kulisikia neno langu.
Yohana 8:43

44 Ninyi ni wa baba yenu, Ibilisi, na tamaa za baba yenu ndizo mpendazo kuzitenda. Yeye alikuwa mwuaji tangu mwanzo; wala hakusimama katika kweli, kwa kuwa hamna hiyo kweli ndani yake. Asemapo uongo, husema yaliyo yake mwenyewe; kwa sababu yeye ni mwongo, na baba wa huo.
Yohana 8:44

viatorymkama
Автор

Mtumishi unakosea unasema uongo kusema kuwa shetani hakusema uongo maana ibilisi alimwambia mwanadamu pindi atakapokula tunda atakuwa kama Mungu, hivyo alimtamanisha kwa madaraka ..kama alivyofanya Kwa YESU alipokuwa hapa dunia kwa kumwambia ukinisujudia nitakupa milking yote ya dunia ..hivyo ibilisi alisema uongo kwa Eva kwa sababu kuvunja amri ya Mungu hakumfanyi mtu awe katika nafasi ya juu au kubwa zaidi ya ile Mungu aliyompatia Bali kunampeleka katika upotevu na hapo kuhusu kujua mema na mabaya hakumaanisha kuyatambua tu Bali pia kuya-experience katika maisha yake hivyo alimwekea mtego huu wa madaraka ili amwasi Mungu

ShabanRashida
Автор

Baba nime kuelewa sana kabisa Mungu unaye mutumikiya akubariki

DeborahBatenga
Автор

Huyu ni zaidi ya mtumishi ni mwalimu wa neno 👏👏

jacobnduya
Автор

Hii noma kbisa, , ukimskiliza vzr uyu mwamba lazima uanze kwenda church fasta Sana

SideIssa-mzh
Автор

Ayaa ujiitaye IPM 😢😢😢 utajilaumu badae YESU ngoja aje utaona vya moto mtete sana huyo shetani utalia wewe😢😢 haya

GodyNsenye-dj
Автор

Kwahio yesu mwana wa mungu alisema uongo alipo sema shertani muhongo?mutumishi sija elewa mie , tena kaharimbu kwa kuongerea watumishi wezio, humbiri bla kuwashabria wezako

mercymwende
Автор

Sema na penda na fwatiliya sana elimu yako Ipm Mungu akubariki

rajabjerome
Автор

Senhor pastor hoje pregou até eu te percebi muito bem muito bem Deus te abençoe sempre

SusanaCerinhoMachaca
join shbcf.ru