KARIAKOO DERBY | Wanadada Simba na Yanga wakutanishwa LIVE nje ya dimba, mmoja atoa ahadi

preview_player
Показать описание
Mamaa ya Simba aahidi vazi la maana akimtaka achague kati ya shati au suti endapo Yanga itashinda….!!

Lakini kwanza anawekeana ahadi na Dody endapo Yanga itashinda… Je, umesikia ahadi ya Dody lakini???

Hakuna Kisingizio …..!

Ni nje ya Dimba la Benjamin Mkapa asubuhi ya leo, kuelekea mechi ya Watani wa Jadi, Simba vs Yanga.... saa 11:00 jioni LIVE #AzamSports1HD
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Nenda ukapewe kaunda suti baba usiache ashone aacha maneno

ElizabethMaster