MEJA JENERALI BUSUNGU ACHANGIA MIL. 5  UZIO WA MABATINI

preview_player
Показать описание
MEJA JENERALI BUSUNGU ACHANGIA MIL. 5  UZIO WA MABATINI

Na Omary Mngindo, Mlandizi - Jan 26

MKUU wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja Jenerali Martin Busungu, amechangia sh. Mil. 5 katika ujenzi wa uzio wa uwanja wa michezo wa JKT Ruvu, uliopo Mlandizi Kibaha Vijijini Mkoa wa Pwani.

Hayo yamebainishwa na Mkuu wa Kikosi cha Ruvu JKT Luteni Kanali Alex Malenda alipokuwa katika Harambee ya kuchangia fedha ujenzi wa uzio wa uwanja wa JKT Ruvu Mabatini uliopo Mlandizi Kibaha Vijijini Mkoa wa Pwani.

LUTENI KANALI MALENDA ANASEMA..
Рекомендации по теме