MBOWE Alivyoondoka Mahakamani, MNYIKA, LEMA Vicheko Tu!!

preview_player
Показать описание
MBOWE Alivyoondoka Mahakamani, MNYIKA, LEMA Vicheko Tu!!

Mahakama Kuu imetengua uamuzi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wa kuwafutia dhamana Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na Ester Matiko, ambapo wameruhusiwa kuwa nje kwa dhamana na kuripoti mahakamani mara moja kwa mwezi badala ya polisi kila wiki. Hukumu hiyo imetolewa leo March 7, 2019 na Jaji Sam Rumanyika.

Wakati Jaji Rumanyika akisoma hukumu hiyo ulinzi mahakamani hapo ulikuwa umeimarishwa kwa askari wengi waliotanda sehemu mbalimbali za Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam. “Hii ni rufaa mojawapo sijawahi kuiona Katika kazi yangu ya Ujaji.

Maofisa wa mahakama kama mahakimu wanapaswa kutumia utashi wao kuamua haki za watu kwa kuzingatia Haki maana ni hatari sana kumnyima dhamana mtu bila sababu za Msingi.

#ChademaMahakamani #RufaayaMbowe

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Hii nchi ni ya democracia kweli. Isipokuwa baadhi ya watumishi wa mahakama wananyima dhamana bila sababu au bila lazima.

badenbensoni
Автор

nimechezo tu lowasa kwenda tayali wanamtoa imekua picha za wamalekani na china

willymwanansimba
Автор

Tz ukisema ukwli unakuw mfungwa ila ukisema unakuw ndio unapambwa kwa pongezi na tunzo ila saw tu

aboubakarmassooud
Автор

Dhamana ni haki yako lakini waheshmiwa msidharao wito wa sheria. Sheria ni msumeno. Hata ukiwa na cheo na unaona wenzako hawana akili ni hilo mliopata.Utasherehekea lakini aliekunyima ndio aliokupa leo.

husseinkarim
Автор

Bora katoka kile chama akaoke kidog😂😂😂😂

faidhamyovela
Автор

Tz ukisema ukwli unakuw mfungwa ila ukisema unakuw ndio unapambwa kwa pongezi na tunzo ila saw tu

aboubakarmassooud