filmov
tv
MBOWE Alivyoondoka Mahakamani, MNYIKA, LEMA Vicheko Tu!!
Показать описание
MBOWE Alivyoondoka Mahakamani, MNYIKA, LEMA Vicheko Tu!!
Mahakama Kuu imetengua uamuzi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wa kuwafutia dhamana Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na Ester Matiko, ambapo wameruhusiwa kuwa nje kwa dhamana na kuripoti mahakamani mara moja kwa mwezi badala ya polisi kila wiki. Hukumu hiyo imetolewa leo March 7, 2019 na Jaji Sam Rumanyika.
Wakati Jaji Rumanyika akisoma hukumu hiyo ulinzi mahakamani hapo ulikuwa umeimarishwa kwa askari wengi waliotanda sehemu mbalimbali za Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam. “Hii ni rufaa mojawapo sijawahi kuiona Katika kazi yangu ya Ujaji.
Maofisa wa mahakama kama mahakimu wanapaswa kutumia utashi wao kuamua haki za watu kwa kuzingatia Haki maana ni hatari sana kumnyima dhamana mtu bila sababu za Msingi.
#ChademaMahakamani #RufaayaMbowe
Mahakama Kuu imetengua uamuzi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wa kuwafutia dhamana Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na Ester Matiko, ambapo wameruhusiwa kuwa nje kwa dhamana na kuripoti mahakamani mara moja kwa mwezi badala ya polisi kila wiki. Hukumu hiyo imetolewa leo March 7, 2019 na Jaji Sam Rumanyika.
Wakati Jaji Rumanyika akisoma hukumu hiyo ulinzi mahakamani hapo ulikuwa umeimarishwa kwa askari wengi waliotanda sehemu mbalimbali za Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam. “Hii ni rufaa mojawapo sijawahi kuiona Katika kazi yangu ya Ujaji.
Maofisa wa mahakama kama mahakimu wanapaswa kutumia utashi wao kuamua haki za watu kwa kuzingatia Haki maana ni hatari sana kumnyima dhamana mtu bila sababu za Msingi.
#ChademaMahakamani #RufaayaMbowe
MBOWE Alivyoondoka Mahakamani, MNYIKA, LEMA Vicheko Tu!!
Shangwe za Mbowe, Mdee, Mnyika Walivyoachiwa Huru Leo Mahakamani
SHANGWE: MBOWE ALIVYOITWA NELSON MANDELA MAHAKAMANI
MAHAKAMANI: Sababu kesi ya Mbowe kukwama kusikilizwa
KAULI YA MBOWE BAADA YA KUTENGULIWA KWA DHAMANA YAKE MAHAKAMANI KISUTU, PEOPLES POWER YATAWALA
FULL VIDEO: MBOWE NA MATIKO WALIVYORUDISHWA MAHAKAMANI BAADA YA MWAKA MPYA
BREAKING: Hatimaye MBOWE, MATIKO Waachiwa HURU, Shangwe Laibuka Mahakamani!
KICHEKO CHADEMA: MBOWE NA MATIKO WALIVYOACHIWA HURU, WATINGA MAKAO MAKUU
RUFAA YA MBOWE: Hali Ilivyokuwa Mahakamani Leo!!
NYALANDU Alivyoshuhudia MBOWE na MATIKO Wakipata Dhamana
BREAKING: MBOWE AFIKISHWA MAHAKAMANI TENA LEO
VIDEO: MBOWE NA MATIKO WALIVYOFIKA MAHAKAMANI KUSIKILIZA HUKUMU YAO
Magereza wamfikisha Mbowe na Matiko Mahakamani kusikiliza rufaa yao
HALI ILIVYOKUWA MAHAKAMANI BAADA YA MBOWE NA MATIKO KUPATA DHAMANA
KIMENUKA: Lema, Nasari Watinga Mahakamani Wakiwa na Ushahidi Kamili!
GLOBAL HABARI MACHI 07: Siku 90 za MBOWE, MATIKO Gerezani Hatimaye Wako Huru!
Mahakama Kuu kuamua hatima dhamana ya Mbowe na Matiko kesho
Mbowe baada ya dhamana 'Huu ni udikteta kamili'
KUSUKA AU KUNYOA: HUKUMU YA MBOWE NA MATIKO KESHO
MBOWE, MATIKO HURU, WASHINDA RUFAA YAO MAHAKAMA KUU
HATIMAYE DHAMANA YA MBOWE NA MATIKO YAPANGWA KUSIKILIZWA
CHADEMA Full Shangwe! MBOWE na MATIKO Warejea Uraiani kibabe baada ya kuachiwa kwa dhamana
MBOWE AFUNGUKA YANAYOFANYIKA GEREZANI 'KESI ZA KUSINGIZIWA'
MBOWE AMEJIBU - 'Simchukii MAGUFULI, Naweza KUONANA Nae'
Комментарии