Asalamalykum warahmatullahi wabarakatuh Ustadh Bashir
Shukran kwa elimu unayotupatia tunajifunza mengi
Allah akujaze kheri
mwanakhamissoud
Shk.allah akujaarie ilimu yako inatufaisha kwamm binafsi mengi najua ikoivo ila kuna vitu vinanipa maarifa mapana allahumma barik
KhamisMcha-uz
Assalamou anleykum mualimu, il unijuu ya kama niko muana funzi kamili toka drc Congo.
souleymanbinnduu
Maalim Asalam alaikum
Ninakuomba utusogezee anga lau mpaka tr10
Siku ulizo weka nichache mnno
MfaumeSaidi-ve
Ustadh huyo alojenga nyumba kea kudhilumi na ndio anaishi na familia yake nzima atajirekebisha vipi ili dua zake zikubaliwe maana pengine keshastaafu na anaishi humo muda wake ulobakia hapa duniani
mwanakhamissoud
Maalim mimiapa ndio kwanza nafuatili majina ya barahatii ombi langu kwako unipe bei ya ofa ya vitabu vya barahati 1-2 Asalam alaikum