MAMBO YANAYOFANYA DUA ZAKO ZIKUBALIWE KWA HARAKA, Part 2

preview_player
Показать описание
Mambo haya ndiyo yanafanya dua zako ziweze kukubalika kwa haraka
Комментарии
Автор

Asalamalykum warahmatullahi wabarakatuh Ustadh Bashir
Shukran kwa elimu unayotupatia tunajifunza mengi
Allah akujaze kheri

mwanakhamissoud
Автор

Shk.allah akujaarie ilimu yako inatufaisha kwamm binafsi mengi najua ikoivo ila kuna vitu vinanipa maarifa mapana allahumma barik

KhamisMcha-uz
Автор

Assalamou anleykum mualimu, il unijuu ya kama niko muana funzi kamili toka drc Congo.

souleymanbinnduu
Автор

Maalim Asalam alaikum
Ninakuomba utusogezee anga lau mpaka tr10
Siku ulizo weka nichache mnno

MfaumeSaidi-ve
Автор

Ustadh huyo alojenga nyumba kea kudhilumi na ndio anaishi na familia yake nzima atajirekebisha vipi ili dua zake zikubaliwe maana pengine keshastaafu na anaishi humo muda wake ulobakia hapa duniani

mwanakhamissoud
Автор

Maalim mimiapa ndio kwanza nafuatili majina ya barahatii ombi langu kwako unipe bei ya ofa ya vitabu vya barahati 1-2 Asalam alaikum

MfaumeSaidi-ve
visit shbcf.ru