TBC1: Kitu Izzo Buziness, Rosa Ree, Malaika Wamewashauri Wasanii

preview_player
Показать описание
TBC1: Kitu Izzo Buziness, Rosa Ree, Malaika Wamewashauri Wasanii

Baadhi ya Wasanii wa Bongo Fleva hapa nchini akiwemo Izzo Business, Rosa Ree na Malaika, wamewataka wasanii wenzao kushirikiana katika kuleta maendeleo katika jamii kwa kuendeleza miradi mbalimbali ya kijamii.

Wasanii hao wamesema hayo wakati wa mjadala ulioandaliwa na shirika la Colombia Global Sectors, mjadala ambao umeleta pamoja wasanii wa Tanzania kuzungumzia jinsi ambavyo wanaweza kutumia vipaji vyao kuendeleza miradi ya kijamii.

Рекомендации по теме