Huyu kipesile ni mke au mume yuanichanganya jamani😂😂 khausipatience
Huyu kipesile ni mke au mume yuanichanganya jamani😂😂
Me napenda sana saiti ya mchawi Dori anakuambia mama mkuuu yule mzee 😂 nibalaa😂 Atakulamba 🤣 kama koni😂😂 Haaaam 😂Haam😂 adamdemarch
Me napenda sana saiti ya mchawi Dori anakuambia mama mkuuu yule mzee 😂 nibalaa😂 Atakulamba 🤣 kama koni😂😂 Haaaam 😂Haam😂
Kipesile mdgo wang endelea na kaz Zak nazikubal lakn zingatia elim piah saw dg❤ PellyBoaz
Kipesile mdgo wang endelea na kaz Zak nazikubal lakn zingatia elim piah saw dg❤
Bona hamuoni vile kipesile ni kahandsome ❤❤ Anntom-rr
Bona hamuoni vile kipesile ni kahandsome ❤❤
Tuleteeni muendelezo tumechoka kusubir😊 PiliHabil
Tuleteeni muendelezo tumechoka kusubir😊
kipesile unafanya vzr sana mdogo wangu endelea hivohivo utafika mbali sana❤❤❤ ilove you VictoriaPeter-ge
kipesile unafanya vzr sana mdogo wangu endelea hivohivo utafika mbali sana❤❤❤ ilove you
Hebu leo niulize jaman kipesile ni mwanaume au mwanamke? RechoBoniphace
Hebu leo niulize jaman kipesile ni mwanaume au mwanamke?
Samahani Kwa kuuliza am so confused hi I kipesile ni male au female? LUPA
Samahani Kwa kuuliza am so confused hi I kipesile ni male au female?
kipesile natamani nikuone laivu ila nitumiye japo namba Yako upate Asante Yako nakukubali sanaaa🎉 Khamis-trow
kipesile natamani nikuone laivu ila nitumiye japo namba Yako upate Asante Yako nakukubali sanaaa🎉
Kipesile buda alipotelea wapi kwa kipesile na Anko kipesile, mwambie mchawi ameingiza kwake brianhamisigovinda
Kipesile buda alipotelea wapi kwa kipesile na Anko kipesile, mwambie mchawi ameingiza kwake
Master aje kama mchawi kwa episode ijayo DanielMusotsi
Master aje kama mchawi kwa episode ijayo
Wewe ulishakufaga ..Bado upo kwa huku😂😂😂 EstherMasakhwe
Wewe ulishakufaga ..Bado upo kwa huku😂😂😂
Wew Buda mbna uache Halima akidharau mzee😢😅😅 Fassykim
Wew Buda mbna uache Halima akidharau mzee😢😅😅
Mimi napenda mwalimu ako mimba ya maiti😂 steadfastlove
Mimi napenda mwalimu ako mimba ya maiti😂