JAJI MWINGINE AJITOA KESI YA MBOWE

preview_player
Показать описание

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Watajitoa sana, hawataki kugombanishwa na Mungu wao

harriethkinjoli
Автор

Hahahaha kiongozi WA mwisho t.z mmemwona ..dahh Bongo sihami

flova
Автор

Wangemwachia tu baba watu wanamtesa bure tu

ananoel
Автор

Waache mungu wa mbinguni anawaona kwa uonevu huo.naona kesho yao wanaijua.

fatumamwafinga
Автор

Watajitowa mmoja mmoja mijibwa mikubwa

w
Автор

Hao askari taabani roho zao hawana budi tu washachoka kutumiliwa na mahaini wa CCM

w
Автор

Serikali hinaogopa kutoa ukumu ya mbowe mnachagua watu wa kuwaukumu

kingbuddah
Автор

Maskin tunawaombea Mungu awasaidie inauma wakitoka happy waache siasa za hovyo za Tanzania za kuumizana bila sababu hata hao wanajiona miungu watu Kuna siku watavuna wanachokipanda

janetkimati