HUKUMU YA MBOWE: POLISI WAPATA KIBARUA KIZITO KUWATULIZA WAFUASI CHADEMA..

preview_player
Показать описание
HUKUMU YA MBOWE: POLISI WAPATA KIBARUA KIZITO KUWATULIZA WAFUASI CHADEMA..

KESI inayowakabili mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake wakiwemo wabunge, Peter Msigwa, John Mnyika, Halima Mdee, Ester Bulaya, Godbless Lema, inatarajiwa kutolewa hukumu leo Machi 10, katika mahakama ya hakimu mkazi Kisutu...

UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE

( +255 784 888982)

( +255 676 229628)

HABARI MPYA DAILY:

HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:

GLOBAL RADIO TV:

EXCLUSIVE INTERVIEW:

Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Huyo mjinga mjinga wamuache atatolewa na ccm alikokwenda apambane na hali yake

khamisnassor
Автор

kweli polisi wetu wapole hpakuwa na sababu ya kuwabembeleza, nakumbuka maneno ya rais kuwa anatamani angekuwa IGP, na mimi ningekuwa ndo kamanda wa zamu sku hiyo wote wangetamani dunia ifumke, dharau imezidi

missanaalfred