YANAYOJILI UANDIKISHAJI DAFTARI LA MPIGA KURA

preview_player
Показать описание
Takribani watu Elfu Tisa wanajiandikisha katika Daftari la Kudumu la Mpiga Kura kwa siku katika kituo kimoja Wiayani Kasulu na Buhigwe.

Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa  ya Uchaguzi Kailima Ramadhani amesema kiwango cha uandikisha katika Daftari la Kudumu la Mpiga Kura katika vituo nane alivyovitembelea limeonesha mafanikio.

Akiwa katika ziara ya ukaguzi wa namna uboreshwaji wa Daftari la Kudumu la Mpiga Kura ambalo linafanyika katika Mikoa ya Katavi, Kigoma na Tabora Kailima amewataka Maadisa waandikishaji na Makalani kuwa wazalendo.

Follow us on:
FACEBOOK;

INSTAGRAM;

TWITTER;
welcome to shbcf.ru