#LIVE : VIONGOZI WAKUU WA CHADEMA WAKIINGIA MAHAKAMANI KUSIKILIZA HUKUMU

preview_player
Показать описание
#millardayoUPDATES#AyoTV
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Makamanda tuko pamoja Kama Chadema, ktk magumu tunayopitia kuelekea ukombozi ktk taifa hili, No Pain....No Gain, we are still Strong.💪💪💪

fabianmahenge
Автор

I pray for u Makamanda! Mungu awapiganie!

jamesswai
Автор

Eee mwenyezi mungu wape subr na usitahilimivu kwa lolote

khadeejaabdullah
Автор

Allah awafanyie wepesi na awasimamie ktk kipindi hiki kigumu tunaamini makamanda wetu watarejea uraiani na kuendelea na harakati, ni suala la mda tu

sharifabdul
Автор

Chumba cha mahakama ni kidogo sana...kinanyima haki ya wadau Wengine wa sheria na wananchi kiujumla kupata nafasi ya kusikiliza...
#fikilieni katika kutoa haki ya idadi kubwa ya watu kuhudhuria mahakani na mpanue jengo kama sio kujenga jipya kabisa.

justinemnyawami
Автор

Inaonekana ndani ya chama kuna maslahi mbona hamuachani na siasa hizo zinazopelekea kufikishwa mahakamani

hamishamis
Автор

Watapigwa faini, isionekane vibaya eti wanasiasa wameonewa na ilimradi huu ndio mwaka wao wa mwisho kisiasa. Labda atakayefuata nyao za Mashinji.

beaugosseadam
Автор

Kazi wanayo majimbo wameyasahau kwa kupenda kuranda mahakamani

bahiyalumelezy
Автор

Mnapandisha interview inascratch ivoo ndo nn

ephraimrichard
Автор

Km walivunja sheria basi sheria ifate mkondo wake na km walionewa pia mungu awasimamie

marreymaster