Manzese tuna raisi mmoja tu #Ney wa mitego zingine ni kenge tu RamadhanAthuman-dc
Manzese tuna raisi mmoja tu #Ney wa mitego zingine ni kenge tu
Ngoma kali sana ukitaka amani ungana nasi🤣🤣🤣🙌🙌🙌 Verse ya Pili Chid Benzi ungemuweka kasangamrisho
Ngoma kali sana ukitaka amani ungana nasi🤣🤣🤣🙌🙌🙌 Verse ya Pili Chid Benzi ungemuweka
Ebwana eeh hatari tupu hili ngoma🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 theophilwhiteheart
Ebwana eeh hatari tupu hili ngoma🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Mnawrka moto mnamanisha nini ujinga kuishiwa MussacharlesSongo
Mnawrka moto mnamanisha nini ujinga kuishiwa
Wewe hueleweki hiphop si uliikacha, kaimbe amapiano, kata viuno kama yondo sister nakalikyumile
Wewe hueleweki hiphop si uliikacha, kaimbe amapiano, kata viuno kama yondo sister
...huu mchezo unaupenda ila ulisema haulipi kwaiyoo father😢😢😢 mdasaboi
...huu mchezo unaupenda ila ulisema haulipi kwaiyoo father😢😢😢
Natuma salamu kwa mdogo wangu aliyopo daslamu anauza duka, madee kaamua kutuma salamu mbona kafanya kama singeli na salamu zao rostermwakimata
Natuma salamu kwa mdogo wangu aliyopo daslamu anauza duka, madee kaamua kutuma salamu mbona kafanya kama singeli na salamu zao
Kwa mbali beat inafanana NAS, ila Ngoma kali sn bro rommyshabby
Kwa mbali beat inafanana NAS, ila Ngoma kali sn bro
ivi Uyu producer ambae sain yake inaanza na ni nani? eryclassictz
ivi Uyu producer ambae sain yake inaanza na ni nani?