DAKIKA MBILI Z DC MPYA WA HAI BAADA KUAPISHWA..

preview_player
Показать описание
Hii hapa kauli ya Mkuu Mpya wa Wilaya ya Hai, Amir Mkalipa muda mfupi baada kuapishwa kuwa mkuu wa Wilaya hiyo na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro nurdin Babu katika ukumbi wa Mkoa.
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Young and talented we are proud of you Amiri Mkalipa

ziadakatundu-cvmg
Автор

Safi Sana Amir Mohammed Mkalipa huna baya school mate wangu, sinve UDOM... Mh Rais hajakosea hata kidogo kukupa uteuzi na wananchi wa hai wana bahati kubwa Sana kuwa nawe.. Hongera sana na nakutakia majukumu mema

omarymnuru