VIDEO:TAZAMA WAFUNGA NDOA BAADA YA KUKAA MIAKA 40 WAKIISHI PAMOJA, SHEREHE YAFANYIKA UWANJA WA MPIRA

preview_player
Показать описание

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Daaah!!waislamu poleni sanaa na angalieni maneno yeno hayo, maana mnajifanya kama mmemuona Mungu mtahaibika Mungu hayupo hivyo kama mlivyo

matthewkanyanzulu
Автор

Shetan alivyonanguvu utashangaa wanakaa mwaka tu wanaachana...mungu awatangulie maharuc wetu jaman

salharunguma
Автор

Hongereni Sana Wazazi kwa kuitunza ndoa yenu mpaka leo..Ni haki kwenu kusherehekea na kupata tuzo ya cheti.♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️,

maswamills
Автор

Mwisho wa neno ni bora kuliko mwanzo wa neno.
Mbarikiwe, , wapendwa

amosntabo
Автор

Hongereni sana Wana mlima wa moto, mama diwani na mzee mh sanga😘🌹

carolinenjiro
Автор

Safi sana, Mwenyezi Mungu azidi kuwabariki

gkiobya
Автор

Hakika Uislamu una Raha sana, Sasa hii Nini??

jumalimbende
Автор

Ish! Asa yie Ayo TV, mmetuonesha ndoa ya Mhz. Sanga au hotuba ya Mze Lukuvi?

G.r.e.a.t.I.Q
Автор

Hebukancheke mie🤣🤣🤣🤣🤣🤣watu wanaujua uzinzi kweli🤣🤣mana mpaka ibilis anawapigia salut

nasraabdallah
Автор

Ukifunga ndoa unapewa cheti halafu baadae unakutana na mtihani Sasa pamoja na kukaa kwanza mda mrefu sheria bado Iko palepale kama ni ndoa Sasa ndio wanaianza baada ya kufunga Kwa hiyo kanuni ni Ile Ile haibadiliki cheti kwanza mitihani atawafata darasani hiyo haikwepeki, 🤣🤣🤣🤣

andrewmagwila
Автор

Jamani nyinyiwoote mnao msema vbaya kwamaamuzi haya aliyochukua yakufungandoa mspendekutoa hukumu kwani kilajambo mungu amelipanga kwa wakatiwake namuda wake hatakwenye maandiko lipo acheni makasriko

justinefrank
Автор

Duh uzinifu wa miaka arobain duh mtihani

wazirihamisi
Автор

Hawa wanafunga ndoa baada ya kuwa anauchumi na amezeeka sasa hivi akitaka kukupa ushauri atakwambia funga ndoa Kwanza ndio maana ndoa zina sumbua sana

msigwazakayo
Автор

Ingekuwa zinaa ni mfumo wa Mungu angeweka ndoa? Mungu unaye muongelea wewe ni Ibilisi..ambapo hajawahi kuwa Mungu! Nakuambia na wewe. Kwa amani sana. Kafungue biblia ikuambie juu ya ndoa na zinaa.

G.r.e.a.t.I.Q
Автор

Mhmm binadamu sijui tunakwama wapi miaka 40 kuzini tu wakati kila mmoja ameshamjua mwenziwe mtihani

sabihaibrahim
Автор

Hao wanacheza na Mungu, na watu wanawapongeza, Baada ya ufuska wa miaka 40 Sasa wahalalisha ndoa yao

nasseralmaqbali
Автор

Alikua hana pesa sasa anazo zakutosha za Übungen anafunga ndoa why not

sabinaonline
Автор

Kweli ameamua kujikabidhi mbele za Mungu na ndoa yake ikadumu milele yote.

erickchitumbi
Автор

Ningekuwa Mimi ningefunga kimyakimya...yaan inatia aibu uchumba miaka 40...but hongera Mzee.,

mesiamatheo
Автор

Mm naonaa watu wanakunywaa soda tu hahahahaha

aminakasim