SSH TUTUNZE MAZINGIRA YETU

preview_player
Показать описание
"Mkoa wa Ruvuma umepata jina la Ruvuma kutokana na mto wenu, mto Ruvuma. Kwa maana hiyo utunzaji wa mazingira ni jambo la muhimu sana ili kuufanya mto huu ukae karne na karne. Mto huu mkiuharibu, mkiharibu mazingira na mto ukikauka jina Ruvuma litakuwa lipo lakini halina asili yake,” Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan.