BAADA YA KUIFUNGA YANGA, MALENDA ANENA HAYA

preview_player
Показать описание
LITENI KANALI MALENDA ASEMA HAYA BAADA YA KUIFUNGA YANGA

Na Omary Mngindo, Mlandizi - Sept 2

BAADA ya kuanza vema kwa kuifunga timu kongwe ya Yanga, Mkuu wa Kikosi cha Ruvu JKT Luteni Kanali Alex Malenda ametoa siri ya kuwafunga mabingwa hao wa Kihostoria.

Lutein Kanali Malenda amesema kuwa siri kubwa ya ushindi huo wa kwanza shidi ya wakongwe hao, imetokana na maandalizi ya uhakika katika kujiandaa na Ligi hiyo kubwa hapa nchini.

Alisema kwamba ushindi huo umekuwa wa kihistoria kwao ikizingatiwa kwamba haijawahi kupata ushindi zaidi ya sare dhidi ya wakongwe hao.

MSIKILIZE LUTENI KANALI ALEX MALENDA.
Рекомендации по теме