MWANA FA AMJIBU STEVE NYERERE kwa STAILI ya AINA YAKE, BAADA ya KUMPA MASAA 48 AMUOMBE RADHI..

preview_player
Показать описание
MWANA FA AMJIBU STEVE NYERERE kwa STAILI ya AINA YAKE, BAADA ya KUMPA MASAA 48 AMUOMBE RADHI..

Mbunge wa jimbo la Muheza, Mwana FA ambaye pia ni mwanamuziki wa 'Hiphop' Hamisi Mwinjuma 'Mwana FA' amezidi kuonesha msimamo wake wa kutokukubaliana na uteuzi wa Steve Nyerere, ambapo kupitia ukurasa wake wa mtandao wa Instagram ameweka kituko kilichosadifu kile kilichotokea baada ya Steve Nyerere kumaliza mkutano wake na wanahabari.

⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:

⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)

⚫️ OUR PLAYLISTS:
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Mwanafa yuko sahihi katiba ifuatwe ya shirikisho steve aache unafiki na siasa na vijembe.sheria ifuatwe

martinmwenda
Автор

Kwani hoandoki kwani alijichagu mwenyewe, au, walimchsgua ndo watakao mtoa, Steve bwana

imanidaraja
Автор

Mi kwa maoni yangu MWANA FA angetulia kwani mwisho wa siku itakuja kuonekana anajivunia ubunge wake au watu watashindwa kusema kwa kuliheshimu bunge

adamlubawa
Автор

Mwana fa heshima imekwenda likizo hapaswi kujibizana na msemaji apeleke lalamiko lake kwenye chama chake!

louismakwisa