KUHUSU NDOA

preview_player
Показать описание
Hakunaga UJUMBE MAARUFU duniani ila tu KUNA CHANGAMOTO MAARUFU kwenye maisha zinazohitaji MAJIBU Kila Wakati, hivyo kila mwenye HEKIMA apatapo nafasi hutoa majibu yatokanayo na HEKIMA ya Mungu ndani yake.
#Ndoa
#PastorTonyKapola
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

mtumishi wa mungu nakupenda Sana unajuwa kunufundisha sana

hildapenina
Автор

Mchungaji mi nimekuelewa vzr sana, sijiu wote tumemuelewa, hasa pale aliposema Bible inasema ukitaka kusali funika kichwa chako, je niwangapi wanapotaka kusali huwa wanafunika vichwa vyao?

aminamkumba
Автор

Hakika ushauri pamoja na ufunuo tulioupata hapa umetujenga vilivyo. Mungu akuzidishie upako Mchungaji wa kufunza kizazi hiki.

theSoundEpignosis
Автор

thanks again pastor Tony God bless you.

gedionmasebo
Автор

Mimi ni muislamu lakini huwa ninakufuatilia sanaa

motivational_leader
Автор

Unaongea point asante nimejifunza kitu

sikudhanisaidi
Автор

Mtumishi kwakweli najivuniya kukufwatiliya kwasababu lika siku huwa najiongezeya kutona na marifa aliyo kupeya Mungu, sikupendi wewe kwasababu sifahamu gisi ulivyo bali napenda ulicho pewa nakutupeya sisi wenye uitaji

andresamson
Автор

Ha😂Ha 😂niatari kweli kabisa yaani ni kraka, Mungu njo muanzilishi wa ndoa

eliasiravuga
Автор

Mwalimu wangu my mentally nakupenda Sana naomba mawasiliano ya pastor naitaji kumtembelea

mcmchagaalexromakaholdingc
Автор

Mchungaji ni mwembamba huyu lakini rohoni Ana kitambi hatari hivi ndiyo wapentecoste wanavyotakiwa kuwa

melksangawe
Автор

Hiyo Kichwa chake kumbe ni Mume Asante Kwa huo Ufahamu Pastor

lucianibenedict
Автор

Pastor Bwana yesu asifiwe!
Napenda mafundisho yako, na unaonekana vema wa heshima ukiwa madhabahuni na suti tofauti na jeans halafu ya kubana sana haiko vema Mtumishi, ukiona vema chukua hii.

farajangomongo
Автор

God bless you pastor l really learnt alot from you 🙏🙏🙏

zainafukenyanya
Автор

Thank you for sharing. I will share this to many other married friends.

ellyminja
Автор

Bwana nipe mtu siku sote atakayonisaidia

purity
Автор

Mim nimekuerew mtumishi mungu azid kukulinda

renatusbonifasi
Автор

Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu aliye juu nabarikiwa sana

namayaniyusuph