TAZAMA RAIS SAMIA ALIVYOAGIZA MTOTO HUYU KUPEWA MGUU BANDIA

preview_player
Показать описание
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amemuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Tunduma Mariam Chaurembo kuhakikisha anasimamia matibabu ya mtoto mwenye ulemavu wa mguu aliyejitokeza kwenye mkutano wa hadhara wa Rais wilayani humo.
Samia ametoa maelekezo hayo Julai 18, 2024 aliposimama kusalimiana na wakazi wa eneo la Momba wilaya ya Tunduma mkoani Songwe ikiwa ni muendelezo wa ziara yake ya kikazi kwenye mikoa mbalimbali nchini.
Рекомендации по теме