Hatimae Diamond ampa kichwa Harmonize kwa mara ya kwanza,Wasafi ni nyumbani

preview_player
Показать описание
Please subscribe now on Our YouTube channel To be the first to hear about the latest news and updates on Time.
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Safi sana hivi ndivo inavotakiwa jaman naamin kwapamoja tunaweza naomba mnisapot kwakutazama video zangu YouTube kisha like subscribe comment na share gusa picha yangu hapo twende sawa

skyboytz
Автор

Hahahahahaahahaha harmonize na diamond ni wamoja

omaritvtz
Автор

Mm kila xku nashinda kwenye mtandao xjaona alipo ongea kaongea lini

sebastiancrement
Автор

Mmmmh jaman hivi bado na still Kuna utofaut? Na umbali na distance Kuna tofaut jaman lugha za watu hizi

isackmuhanuka
Автор

Dada anaongea huyu dah twende kwenye point moja kwa moja ndo hapo ninapoboreka na youtube

victornkunga
Автор

Konde Gang 4rvery body mshaanza shobo eeh😂😂😂

hassanmkungile
Автор

Wacheni kuongea sana mengine mtusogezee

eurekahomes
Автор

huna lolote kwanza unaongea unajichanganyachanganya, channel ta kipuuzi sana hii, haiwezi kuwa kwa mambo ya kipumbavu kama haya, unaongea utopolo tu

emmanueljonas
Автор

Acha uongo ww w uneona na kuckia wap mond Anasem hayo

issayahsudi
Автор

Sasa wewe mtangazaji ndo unaongea mwanzo mwisho wacha ujinga!

USDisdoomed
Автор

Aliyesikia "Lakin bado still", Na still bado", kutoka kwa mtangazaji nani, , Tujuane hapa maana kingireza hiki sio poa.

muksinmbaruku
Автор

Wazo langu mimi naona...kikishakushinda, we kanyagia....sioni haja diamond kumchukia harmonize

Ajuka.Platnumz
Автор

We umesema una harmoniz na mond mbona hawapo

mwengemaregesi
Автор

Still Daimond ata zid kufanikiwa coz jama Hana kinyongo kwa nimwelewa sana jama hata mim binafs naona anakila sababu ya kujivunia kwa Kaz zake ? Na Hamonz nae big up kwake coz jama ametambua wap alitoka na wap ameanzia thas why ana cam down kwa kwa Dangote heshm kwa mondi one love kwa Tanzania yetu

berrymwakilembe
Автор

Sisi mashabiki ndyo wabaya ila wao wanapendana tu

juliusmakanga
Автор

Shida ya media zilizo nyingi Tz wanatengeneza head speach ili watamanishe watazamani ukifungua ndani uongo mtupu....
Ndo maana wachache wanaoaminika kama Ayo Tv n.k acheni kuwaenjoy watu aisee....we are matured enough.

emmanuelbaracki
Автор

Harmonize naye kakubali kupewa kichwa na dimond...du

mbwanakiting
Автор

Huyu dada mbona kama anajilazimisha sana kuitamka hiyo harmonize kizungu sana 🤣🤣

nellyerick
Автор

Ubaya wa Mond simtu mzurii saanaa juu nimtu wa wivu kachukua pesa za Harmonize nyingi sana

budigabirdman
Автор

Acha uongo wewe unachoongea ni hear say tu hakuna lolote la ukweli. Kweli nyie ndio munaoleta uongo.

ashaali