MITANDAONI | Stellenbosch yatua Zanzibar kuikabili Simba CAFCC

preview_player
Показать описание
Wageni wa Simba SC, Stellenbosch wametua visiwani Zanzibar tayari kwa mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC)

Mechi itapigwa Jumapili ya Aprili 20.

Mechi hiyo itapigwa saa 10:00 jioni katika dimba la Amaan Zanzibar na itakuwa LIVE #AzamSports1HD

Mchezo wa mkondo wa pili utapigwa Aprili 27, 2025 nchini Afrika Kusini na utaishuhudia tena LIVE #AzamSports1HD
Комментарии
Автор

Hatoki mtu simba 4 Stellenbosch 0 kubabake kula chuma hicho

NkushaJulius
join shbcf.ru