filmov
tv
MITANDAONI | Stellenbosch yatua Zanzibar kuikabili Simba CAFCC

Показать описание
Wageni wa Simba SC, Stellenbosch wametua visiwani Zanzibar tayari kwa mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC)
Mechi itapigwa Jumapili ya Aprili 20.
Mechi hiyo itapigwa saa 10:00 jioni katika dimba la Amaan Zanzibar na itakuwa LIVE #AzamSports1HD
Mchezo wa mkondo wa pili utapigwa Aprili 27, 2025 nchini Afrika Kusini na utaishuhudia tena LIVE #AzamSports1HD
Mechi itapigwa Jumapili ya Aprili 20.
Mechi hiyo itapigwa saa 10:00 jioni katika dimba la Amaan Zanzibar na itakuwa LIVE #AzamSports1HD
Mchezo wa mkondo wa pili utapigwa Aprili 27, 2025 nchini Afrika Kusini na utaishuhudia tena LIVE #AzamSports1HD
Комментарии