USHAURI WA BURE na Mbunge wa jimbo la Iringa Mjini Jesca Msambatavangu.

preview_player
Показать описание
Leo katika ‘USHAURI WA BURE TBCONLINE’ tupo na Mbunge wa jimbo la Iringa Mjini Jesca Msambatavangu.

Mwenyewe anasema

- Sina muda na umbea ila ukinipa umbea wenye ukweli naupenda 📌
- Hauna mipango sikupi hata dakika moja 🛠️

- ‘Haters’ wangu Mimi nawapenda na endeleeni kutengeneza mikakati ya kunishughulikia 😂

- Kwa waganga wa kienyeji sikanyagi 📌

Una ushauri gani kwa Mbunge huyu wa Iringa Mjini, Jesca Msambatavangu. @jescamsambatavang

#TBCOnline
#UshauriwaBure
#BungeniNaWabunge
Рекомендации по теме