WAZIRI MKUU MAJALIWA ATOA MAAGIZO - ''GARI ILIYOTENGENEZWA CHINI YA 2010 HAIINGII TANZANIA''

preview_player
Показать описание
WAZIRI MKUU MAJALIWA ATOA MAAGIZO - ''GARI ILIYOTENGENEZWA CHINI YA 2010 HAIINGII TANZANIA''

WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113

LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻

Follow Us On:

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Inauma Sana kwa maana woote tuwe WABUNGE Tambua hiyo hela na POSHO mnazozipata ikiwa ni pamoja na na maV8 mnayojidai nayo ni hela yetu walipa kodi masikini. Leo mwataka sisi tuwe Sawa nanyi mnaopata hela ya Hawa masikini wanyonge. WABUNGE wetu Mungu anawaona

davisnkoba
Автор

serikali haiko serious hivi huo ushuru wa gari za 2010 kuendelea mlioweka mnaujua au mnawachezea watanzania Akili nafikili cha kwanza shusheni ushuru muone import ya magari itakuwaje ushuru mnaweka mkubwa alaf mnategemea mtu aagize gari ya 2010 kwa pesa ipi mnayotupatia watanzania wekeni misingi mizuri ya ushuru wa magari na wapunguzieni vikwazo wanunuzi natumai mtaona positive changes ila kwa kodi zilivyo juu kama hamkushusha tegemeeni kukutana na IST za 2002 nying sana mtaani

seifamani
Автор

Jambo zuri. Magari used chini ya mwaka 2010 inakuwa kama dampo Tanzania yanatoa moshi mwingi yanaharibu hali ya hewa ozone layer joto bora yapigwe marufuku yaje magari mapya kuanzia mwaka 2010 kupanda juu nchi kama india magari yaliyotengenezwa chini ya mwaka 2005 hayatumiki kabisa hayatakiwi kuingia barabarani

fredrickmatiku
Автор

Mwenye shibe hamjui mwenye njaa . Mumesahau kuwa Tzn raia walio wengi ni masikini kwa hiyo munawanyima fursa yakuwa na gari na wao .. Munapenda kuigiza muenendo wa nchi ziloendelea wakati sisi kwetu tuko nyuma mno .

kiri
Автор

duuuu hiii itatuuuwa, landrover, gar nying za 2005, canter na tipper nying za 1999... gari kigezo ni milage

joevang
Автор

Sheria haizuii kuingiza gari chakavu ila inabidi ulipie uchakavu. Mimi nafikiri gari mbovu zilizopo Tanzania ndiyo hatari zaidi kuanzia maisha ya watu, kuchafua mazingira etc.

icesue
Автор

Dah nilikuwa mpango wakuingiza jaguar 2005 ni nzuri kuliko crown ya 2010

yusuphwella
Автор

Dah mungu atusaidie tu watz wanajiangalia wao tu

blessedgreatempire
Автор

PRADO 2010, VITS 2010, NISSAN XTRAIL 2010, PREMIO 2010, SPACIO 2010, RAUM 2010, NOAH 2010, IST 2010, FUSSO ZOTE 2010, PICKUP ZOTE 2010, BENZI ZOTE 2010, WISH 2010, SUZUKI KERY 2010, PASSO, CIENTA 2010, COASTA HIACE 2010, CROWN NA SALOON ZINGINE 2010, AMAZONI NA V8 ZOTE 2010,

AHAHAHAAHAHAH MIMI NASHUKURU MUNGU NDIO KWANZA NIPO FORM 5 MPAKA KUJA KUNUNUA GARI CJUI MWAKA GANI 😀

bamsnames
Автор

Rais kasema magari yanayoingia nchini yasikaguliwe tena bandarini, yalishakaguliwa huko yalikotoka.sasa tushike lipi?la waziri mkuu na TBS wafanye ukaguzi or rais samia na maelekezo yake ?mnatuchanganya mpaka basi.

esuthoby
Автор

Jaman magari ya 2010 and above ni gharama.

Hizi baby walker zetu nyingi ni model za 2005 mpaka 2008

abdangembe
Автор

Nchi yetu ili iendelee kwanza ubunge iwe ni wito, na mbunge apewe posho ya Tsh 700, 000 tu kwa mwezi ili wajitume zaidi lkn leo wanalipwa mamilioni ya fedha alafu wanasimamia mradi wa elfu kadhaa za hela, hii ndio inaturudisha nyuma na waliosoma na kua na vipaji hawavitumii kwa kukata tamaa juu ya hili.

mbwanarajab
Автор

Wizi unarudi upya wakazi wa relini mkae mkao wakula kushuhudia

OfficialA
Автор

Hatuna shida na kununua magari ya kisasa zaidi, ila hiyo kodi toka TRA ni kubwa mno.

kevinkambona
Автор

KUSEMA TUAGIZE GARI KUANZIA 2010 SINA UHAKIKA IKIWA UTAAGIZA GARI LA KUBEBA MZIGO KWA MIAKA HII TAJWA BEI YAKE HAINUNULIKI, LABDA KAMA NIA NI TUWE TUNATUMIA PUNDA KUBEBA MIZIGO. KINGINE WAZIRI HEBU JARIBU KUYASEMEA MAFUTA ONYESHA UPENDO WATANZANIA TUNAKUAMINI SANA UJUE.

dicksonkilupa
Автор

Mama Samia WaTanzania ni wezi na mafisaidi nenda mwenyewe kukagua hiyo miradi mikubwa, JPM alijua hilo ndio maana alikuwa anaenda mwenyewe

kabwelasutiviraka
Автор

Majaliwa umeanza kumpinga mama si ndiyo?

abubakarnyerere
Автор

Mkuu unajua Price ya gari 2010 kweli???? Au unasema tu??? Fanya research kwanza then ndo usema. 2005-2008, fresh, kwa watanzania ya Hali ya chini, wee unasema 2010, hiyo IST yenyew uwezi gusa Aiseeee, tatizo Kodi za bongo kubwa mmo, Hadi 7mllions kwa IST, so what do you expect?? So before you argue something do research kwanza mkuuu. Hapo Sasa unakiribisha Rushwa kubwa.

georgemhalla
Автор

Labda kama mtashusha ushuru bandarini maana inaumiza sana kuagiza gari kwa tsh 10ml alafu ushuru unalipa karibu 7ml

tycoon
Автор

Mkilewa madarakaa mnaanza mbwembwe mnazani kila mtanzania anauwezo wa kuagiza gari ya 2010 au mnajua watanzania wote wanalipwa mishahara kama yenu

joshuabryson