filmov
tv
Muungano Wa O.K.A Wasema Uko Katika Mazungumzo Na Azimio
Показать описание
Viongozi Wa Muungano Wa Kisiasa Wa Oka Leo Wamepiga Kambi Katika Maeneo Bunge Ya Likuyani Na Lugari Kaunti Ya Kakamega Wakiuza Sera Zao Huku Wakidokeza Kwamba Huenda Watafanya Mazungumzo Ya Kubuni Muungano Mpya Wa Kisiasa Na Mrengo Wa Azimio La Umoja Linaloongozwa Na Raila Odinga. Wakihutubia Wakaazi Wa Kijiji Cha Nasianda Huko Likuyani, Viongozi Hao Wakiwemo Martha Karua Wa Narc Kenya, Kalonzo Musyoka Wa Wiper, Cyrus Jirongo Wa Udp Na Gideon Moi Wa Kanu, Wamesema Kuna Uwezekana Wa Kushirikiana Na Viongozi Wa Azimio La Umoja Lakini Kamwe Hawawezi Kushirikiana Na Naibu Rais William Ruto. Viongozi Hao Pia Wamewaonya Wakenya Dhidi Ya Kuwashabikia Wanasiasa Wafisadi.
Ibrahim Hussein: Tutatumia sheria kuupinga Muungano
Jinsi radi ilivyopiga jengo hili Marekani
Onyo la Marekani, Ufaransa, Ujerumani na Uholanzi
MUUNGANO WA DINI NA SERIKALI KENYA PART 1B(CHURCH & STATE UNITE)
TRAVELLING FROM KEROKA TO KEERA NYACHEKI IN KISII COUNTY YOU WILL NEVER SEE IN TELEVISION ❤️ ❤️ ❤️...
DRAMA IN KISII AS RUTO GOON OSORO CHASED BY KISII ALLIES FOR ATTACKING RAILA ODINGA
| JKLive | Road to Green Transport [Part 1]
Mwanamke Bomba | Purity Wakahiu aliacha kazi kuwalea mwanawe
Tafakari ya Babu: Msimu wa baridi
They Opened Their Church To SATAN, Then This HAPPENED | Voddie Baucham
Manufaa ya Bwawa la Nomotio kaunti ya Samburu
Naibu wa rais awarai wakazi wa Magharibi kumpigia kura
Elewa sheria: Pata kuelewa mikataba ya siasa ( Sehemu ya pili)
SAM’S SENSE: Of salaries and more
Stivo simple boy: Mp Salasya alitimiza ahadi yake. Ashanilipia rent. #UhondoWaMilele
RAFIKI JAHAZI TALENTS ISANGA MBEYA
Wafanyibiashara wanaouza vyuma vikuukuu wafanya maandamano
Wafanyikazi wa Kenya Power wafanya maandamano wakilalamikia kudhulumiwa
KITETO Waungana na wengine Duniani kutaka vita vya Israel na Palestina visitishwe
DP Gachagua holds a meeting with tea farmers in Kericho County
ZANZIBAR ITAKAVYO FAIDIKA NA TOZO HIZI
PSV drivers to retest during licence renewal
Familia ya James Kahero yafanya ibada kamili sebuleni
Kalonzo akashifu matumizi ya fujo katika maandamano ya Ijumaa
Комментарии