Muungano Wa O.K.A Wasema Uko Katika Mazungumzo Na Azimio

preview_player
Показать описание
Viongozi Wa Muungano Wa Kisiasa Wa Oka Leo Wamepiga Kambi Katika Maeneo Bunge Ya Likuyani Na Lugari Kaunti Ya Kakamega Wakiuza Sera Zao Huku Wakidokeza Kwamba Huenda Watafanya Mazungumzo Ya Kubuni Muungano Mpya Wa Kisiasa Na Mrengo Wa Azimio La Umoja Linaloongozwa Na Raila Odinga. Wakihutubia Wakaazi Wa Kijiji Cha Nasianda Huko Likuyani, Viongozi Hao Wakiwemo Martha Karua Wa Narc Kenya, Kalonzo Musyoka Wa Wiper, Cyrus Jirongo Wa Udp Na Gideon Moi Wa Kanu, Wamesema Kuna Uwezekana Wa Kushirikiana Na Viongozi Wa Azimio La Umoja Lakini Kamwe Hawawezi Kushirikiana Na Naibu Rais William Ruto. Viongozi Hao Pia Wamewaonya Wakenya Dhidi Ya Kuwashabikia Wanasiasa Wafisadi.
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Nyinyi amuba kura kwenda kwa vitandawili

deniskibagendi
Автор

Wanaojiunga mna azimio ni wale hawataki MUNGU nm watermelon atabxadilika

sarahjacobs
Автор

Man gidi U remind me of past election of 🇮🇱🤐

lbrasanchoo