filmov
tv
HATIMA YA MBOWE NA MATIKO KUJULIKANA KESHO
Показать описание
Mbivu na Mbichi kuhusu hatima ya dhamana ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na mbunge wa Tarime Mjini, Ester Matiko inatarajiwa kujulikana kesho March 1, 2019 katika Mahakama ya Rufani.
Mbivu hizo ni kuhusu uamuzi utakaotolewa na Mahakama hiyo kuhusu rufaa iliyokatwa na Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP).
Hatima hiyo imejulikana wakati kesi ya Mbowe na wenzake ilipotajwa mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Kisutu, Kelvin Mhina baada ya Wakili wa Serikali, Wankyo Simon kueleza kuwa kesi hiyo imeitishwa kwa ajili ya kutajwa na wanasubiri taratibu za rufaa.
Baada ya kueleza hayo, Wakili Prof.Safari aliutaka upande wa mashitaka kueleza rufaa inaendeleaje kwani taarifa rasmi waliyoipata wao uamuzi wa rufaa hiyo utatolewa kesho February 29, 2019.
"Taarifa rasmi, rufaa itatolewa hukumu kesho Februari 29, 2019 saa tatu,".
Baada ya kueleza hayo, Hakimu Mhina ameahirisha kesi hiyo hadi Machi 14, 2019.
Novemba 23, 2018 Jaji Wilbard Mashauri akiwa Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama ya Kisutu, alifuta dhamana ya Mbowe na Matiko kutokana na kukiuka masharti ya dhamana.
Mbivu hizo ni kuhusu uamuzi utakaotolewa na Mahakama hiyo kuhusu rufaa iliyokatwa na Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP).
Hatima hiyo imejulikana wakati kesi ya Mbowe na wenzake ilipotajwa mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Kisutu, Kelvin Mhina baada ya Wakili wa Serikali, Wankyo Simon kueleza kuwa kesi hiyo imeitishwa kwa ajili ya kutajwa na wanasubiri taratibu za rufaa.
Baada ya kueleza hayo, Wakili Prof.Safari aliutaka upande wa mashitaka kueleza rufaa inaendeleaje kwani taarifa rasmi waliyoipata wao uamuzi wa rufaa hiyo utatolewa kesho February 29, 2019.
"Taarifa rasmi, rufaa itatolewa hukumu kesho Februari 29, 2019 saa tatu,".
Baada ya kueleza hayo, Hakimu Mhina ameahirisha kesi hiyo hadi Machi 14, 2019.
Novemba 23, 2018 Jaji Wilbard Mashauri akiwa Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama ya Kisutu, alifuta dhamana ya Mbowe na Matiko kutokana na kukiuka masharti ya dhamana.
Комментарии