JAJI KESI YA MBOWE AJITOA

preview_player
Показать описание
Wakili Peter Kibatala akizungumzia kuhusu tukio la Jaji Elinazer Luvanda, aliyekuwa anasikiliza kesi ya ugaidi inayomkabili, Freeman Mbowe na wenzake watatu leo kutangaza kujitoa kuisikiliza kesi hiyo. Hatua hii imekuja baada ya Mbowe kumwomba ajitoe kwani kuna madai hatowatendea haki
Рекомендации по теме