DR SULLE AJIBU NGUVU YA PETE ZAKE ZA AJABU'NJIA YA KUTUMIA JINI UPATE UTAJIRI 'LUCIFER NA FREEMASON

preview_player
Показать описание

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Mashekhe mnatakiwa kuwa makini sana, mnajipa dhima kubwa na mtajibu mbele ya Allah. Kuna watu watapotoka na kuanza kutegemea majini au kuweka matumaini kwenye majini dhidi ya Allah . Kuna watu wataanza kujihusisha na ushirikina ajili yenu , alafu mtasema hawaja elewa vizuri

fidelim
Автор

Sasa ulivyokua unamkufurisha Harmonise kumbe nawewe mshirikina mkubwa tubia kwa mola wako wachakuongopea watu muogope Mungu wako kwa hayo unayoyyasema sasa mungu anakazi gani ikiwa pete ndo inakupa power ngoja masheikh wenzako wayaone haya uone watakavyokuradi kwa hichi ulnachokisema

kijitamfyomi
Автор

Nyie wapuzii musicoment Kama hamjasoma wapuziii someni kwanzaaa

KhalfanAlly-uvxy
Автор

Sub-haanallah huyu jama ni mushriku mkubwa😢

JamilFadhil-fzri
Автор

Dr. Iyo ni shiriki wewe na harmonize hamna tofauti yeye kamkufuru Mungu nawewe unamshirikisha Mungu katika ushirikina wako

papsmicrocreditcompanylimi
Автор

Mtume rehma na amani ziwe juyake alisema watakuja na kuwaita watu katika mashimo ya moto wa
WAISLAM TUWE MAKINI NA WANAOLINGANIA
ALLAH ATUONGOZE KATIKA HAKKI

KubwaKuliko-dkbm
Автор

Subuhanallah Allah akuongoze kumbe ndo uko shekh inalillah wainaillah rajiun

RashidiAlly-swdr
Автор

Jamani mpaka maasikofu wanavaa Pete kumbe yote ni machawi tu. Tumutumikie mungu alie hai hao washashikwa na rusifa

RatsonEdgar
Автор

Sheikh ilo sio sawa allah akurejeze katika haki sheikh wetu

MuhammadnabiiMuhammadnabii
Автор

Hapo hakuna dini ya Mungu hapo muokoke tu Yesu anawapenda sana.

AlfredZacharia-ofje
Автор

ushirikina tuu, anajitapa kwa ujinga na ushirikina tuu

hajihaji-lplx
Автор

Mnatuchafuulia dini yetu Allah kareem anawasubili paws ni Yaa Allah a nampa amtakae Allah ka kwambia wapi mvae mapete ya bahati tuonesheni

zulfaibrahim
Автор

Acheni kutukana wasomi Suleiman ni msomi saana

khadijakhamis
Автор

Asalam alaikum vipi shekh pete hizo zinapatika wapi??

KirengaAlia
Автор

Kunamuda natafakarisana, kuhusu dini, lkn kwasababu napenda kufwatiliya dinizote, nimepata ukweli tatizo hatusomi vitabu vyadini, pya tunapenda stori zakusomewa nakutafsiriwa, biblia inasema vumbo laimani, lkn wenzetu waislamu, mpo wazikwenye dini yenu, nimewapenda bure, ostadhi nimekuelewa, sn tunaomba no yako tunashida kibao, utusaidiye jmn, mwenyezi Mungu amekupakibali chautambuzi naufahamu wadini sn, duuuh hatari kunamuda mpk nakuogopa

DianaNyange
Автор

waswahili wameharibu dini pete za upumbavu

aliaden
Автор

Hiyo ni shiriki, elimu ya nyota ni ushirikina.
ACHA SHIRIKI

swahilitherapytv
Автор

Huyu mtu amefanya nione another image of islam. Right now, because I've been listening to him in my right minds, I can't even go close to islam. It has been eye opening

josphinenduta
Автор

Uwelewa mdogo sule sio mxhilikin maana hajauwa m2 hajamuekea m2 nukusi asifanikiwe haya ushilikina wake uko api kapateni mafunzo ama taaruma msema kweli hapendwi sule anasema kweli ana2pa elim wengine ni sili zao za maisha ila yeye kajitolea na yupo sahihi ila mwengine wanamwelewa vibaya hasa wasio kua na elim na wanao fuata upepo ndio maana ha2muelewi

IddiAbdi
Автор

Qiyama kishafika ALLAH atupe mwisho mwema

salhakhalfan